Mary Chatanda athibitisha maneno ya bibi Titi kuwa wanaume ni waoga kwenye kupambania Uhuru, Haki na Demokrasia

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mwenyekiti wa UWT Taifa amesema hayo alipokjwa anatoa salaam za UWT kumkaribisha rais wa JMT mama Samia kuzungumza na wanawake na Taifa leo katika uwanja wa Uhuru

CDE Mary Chitanda amesema kwa kunukuu ukurasa wa 52 wa kitabu cha Bibi Titi Mohammed ambaye aliandika kuhusu nafasi na ushiriki wa wanawake kwenye mapambano ya uhuru wa Tanganyika.

Mama wa Taifa Bibi Titi alisema kwenye kitabu chake kuwa, ...wanawake walijitolea kupambania uhuru kwa dhati wakitambua kuwa WANAUME NI WAOGA katika mapambano hayo... mwisho wa kunukuu


GT wa Jamii Forums. Tunauonaje msimamo na maoni hayo ya Bibi Titi katika maisha yetu ya leo? Je nafasi ya sisi wanaume kwenye kupambania uhuru na haki imewakilishwa vyema kwenye situation hizi za
Tozo
Mfumuko wa bei
Udikteta
Utendaji mbovu wa Polisi
UKatili unaofanywa na dola
Ubadhirifu
Katiba isiyoheshimiwa na watawala
Na mengine mengi.

Tuna mtazamo gani kupinga ama kuunga mkono hoja ya Mama wa Taifa?
 
Kina halima mdee walionyesha kwa kuingia bungeni kupigania haki na kuwaacha wanaume ambao wengine walikimbilia ulaya kuhodhiwa.

Leo hii wanakula ruzuku meno nje.
 
Kina halima mdee walionyesha kwa kuingia bungeni kupigania haki na kuwaacha wanaume ambao wengine walikimbilia ulaya kuhodhiwa.

Leo hii wanakula ruzuku meno nje.
kwamba hao malaya kina mdee kwa akili yako ndo reference ya wanawake wapambanaji, ndio maana huwa mnaitwa NGURUWE wa lumumba kwa upumbavu wenu na kama nyie ndio mnategemewa na samia 2025 basi ajiandae kukabidhi nchi kwa amani maana anagenge la nguruwe tu.
 
Mbona lugha Kali sana...nani kakukwaza kiasi hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…