Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Masaa 10 ya Jehanamu nyumbani kwa Sister

Siku moja niko na mzee wangu(a.k.a osama) tulienda kutembea kwa bamdogo, sasa vile vitoto vya bamdogo mideko mingi vikawa vinaturukia rukia, nikasema ngoja nione dingi atafanya nini maana anajikutaga serious [emoji23]
Kwan ata dakika tano zilipita sasa, kuna kitoto kikamrukia mgongoni et "bamkubwa nibebe", akakibeba hadi nje akachukua kiboko tulisikia tu mtu analia huko alipo rudi ndani akasema wachezeen hao mlio wazoea mmesikia eeh, kuanzia hapo fujo zikaisha. 🤣🤣🤣
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambiwa siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito.

Sister ana watoto wawili, mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndio Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa, akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe, wakitaka tukacheze mpira, wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume, wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena. Nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa, wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa. Sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu, utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nilikuwa nmeshachoka sana kukaa pale. Tunakula mezani yule jr akaanza kulia, wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma, nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu, ikabidi achukuliwe akalazwe na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe, huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu, kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya Jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life. Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto, nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. Mfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena na hata home simwaliki kuja na watoto wake. Acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake. Sitaki kabisa.
Duuh
 
Last Jumamosi nilipata mualiko kumtembelea Sister Home kwake Mikocheni. Nilienda na Mke Wangu na Mtoto wetu mmoja wa miaka 4.5

Saa nne tulikuwa tumefika home maana tuliambiwa siku hiyo hata kinywa tukafungulie pale na jioni tukifungie pale pale. Waswahili wanasema mtu hakatai wito.

Sister ana watoto wawili, mmoja miaka 6 na mwingine 4. Tulianza kupata changamoto mapema sana baada ya kutia tu mguu pale home. Watoto wake wanalilia simu. Nikawa nawaza hii iPhone yangu nimpe mtoto achezee kweli?

Basi yule wa miaka minne akawa analia balaa anajirusha huko na kule akitaka apewe simu acheze game. Sister anacheka tu na kusema "We Junior usimsumbue Uncle bwana, basi chukua hii yangu huku ana mpeti peti" wallah nilikuwa napatwa na hasira sana.

Akaendelea kusema simu zao mle ndani zote zimeshapasuliwa vioo mara kadhaa sababu ya watoto kugombania. Wakati huo tena yule mtoto anamvuta mke wangu nywele nyuma ya kiti.

Sister anasema tu "We xxx mwache Aunt nitakuwa sikupi game ucheze" Yule Mtoto kuambiwa vile aliangua kilio kikubwa sana. Nikahisi wife uzalendo ulimshinda akamwasha kibao. Kumbe sivyo. Alikasirika sababu ya kuambiwa atanyimwa game.

Sister akawa anambembeleza wakati huo yule mwingine ametokea chumbani kwa Wazazi wake kavaa chupi ya sister kichwani. Mbaya zaidi kaja kwangu nimwone eti kavaa mask nimeshika hivi ni chupi astaghafilulah nikaachia kama mtu aliyeshika moto. Ndio Baba yake akaja iokota na kuipeleka tena room akisema wewe xxx acha michezo hiyo kwa uncle.

Tumeenda kula mezani yule mdogo kaanza tu kulia. Analia wanamuuliza nini anasema hataki maziwa anataka chocolate nikajiuliza hili si lilikuwa suala la kusema tu why alie?

Huyu mkubwa amesusa kula akaanza bembelezwa, akabembelezwa sana mwishowe akaitwa Dada amlishe mtoto wa miaka 6 analishwa? Tumerudi kukaa sitting room taabu zinaendelea wanakuja kunidandia mwilini wakitaka niwabebe, wakitaka tukacheze mpira, wakitaka tuimbe.

Muda huo wote sijaweza hata kukaa vizuri kuongea na wenyeji wangu. Wao wanacheka tu na kufurahi kiukweli Mtoto wangu akawa kama amepigwa na butwaa hivi anashangaa sana.

Wakaambiwa wakacheze kwenye bembea. Dada akaitwa akawasukume, wangu alienda ndani ya dk 10 akarudi hataki kwenda tena. Nadhani walimghasi na vile hajazoea shida na ugomvi.

Akina uncles wakarudi wanalia mmoja anadai kaangushwa na mwenzie na mwenzie anadai amegongwa, wakiwa wanabishana mmoja alimrushia remote control mwenzie ikamkosa. Sister akawa mkali akisema "wewe junior kesho hupandi gari yangu, utapanda ya baba" hii ndo adhabu yake eti.

Mpaka mchana nilikuwa nmeshachoka sana kukaa pale. Tunakula mezani yule jr akaanza kulia, wanamuuliza jun unalia nini anasema usingizi unamuuma, nilishangaa sana kumbe hata usingizi una maumivu, ikabidi achukuliwe akalazwe na mwenzie naye akawa ameinama kwenye meza kalala anaulizwa naye anasema usingizi akabebwa akalazwe, huo ni mchana.

Mpaka jioni nilishachoka kabisa na sikuwa na hamu, mke wangu alikuwa ametulia kimya na mtoto wangu amejituliza pembeni yangu, kiunyonge akitaka tuondoke.

Jumapili tumekaa sebuleni mara Mtoto wangu wa miaka 4.5 akaanza kulia nikamuuliza kulikoni tena? Akanijibu usingizi.😡😡😡😡😡kama Mama yake asingeniwahi nadhani tungekuwa tumempeleka hospital amelazwa mashavu yamepasuka. Nlianza ona emeingiwa na pepo.

Nlikuja muuliza toka lini usingizi umekuwa ugonjwa kwake au maumivu? Nilimuuliza siku zote hufanyaje akajibu huenda chumbani akapanda kitandani akalala. Then swali langu likawa leo amepatwa na nini? Akaomba msamaha. Sorry Daddy!

Nikashusha pumzi. Nika rewind matukio yooooote ya Jumamosi kwa sister it was like a little hell. Na mtoto wangu alitaka eti aige that life. Nikashangaa wenzangu wanaleaje Watoto, nami nakosea wapi?

Well, watoto wangu tunacheza, tunataniana, tunaimba n.k but kwa wakati. Na hawashiki simu yangu kuchezea nakaa mpaka mwezi sisikii wanalia. Mfano huyu wa miaka 6 anaanzaje kulia? Huyu wa miaka 4 anaweza ongea why alie?

Siwezi enda kwa sister tena na hata home simwaliki kuja na watoto wake. Acha tuwe tunaonana juu kwa juu. Sitaki tuje kutafutiana lawama baadaye. Sitaki undugu lawama. Kama ameamua kufuga tushetani akae nato peke yake. Sitaki kabisa.
Soma uliyoyaandika,na itafakari vizuri utajua wewe ndio mwenye dosari
 
Huyo sister ana mume? Sinaona kwenye Uzi .
Kusema ukweli wewe ndio unezingua mjomba unatakiwa umfundishe dada yako jinsi ya kuoea watoto chapa sana mbele yake na waambie siku nikija mkifanya ushenzi nawachapa yaani chapa kwelikweli kama.huyo ninsistet ako wa damu na mme lelewa pamoja hawezi kukuchukia kusema ukweli swala la malezi linahitaji ushirikiano mimi hapa mtaani Kuna mama tunamwita shangazi ni mkali Hana masiahara watoto wakizingua anachapa balaa na hata siku moja hatukawahi kugombana tunamuheshomu Kama mtu mzima na anasaidia kusimamia malezi ya watoto kusema ukwelinuzunguuzungu ndio unatuharibia malezi wewe chapa na ongea na dada yako kwa ukali mkaripoe sana tu.
Swali' hao watoto wakiwa wakubwa wakiwnza kuvuta bangi au kufanya umalaya unadhani hata kuita kukuomba ushauri? Samaki mkunje angali mbichi
 
Back
Top Bottom