Masaa 24 ndani ya JF (Personal opinion)

Ila si uwe unawapa
majibu mazuri mkuu
Najikuta mamake yesu nimebarikiwa kuliko wanawake wote unategemea niwajibuje enyi wana wa Adamu?

Majibu yanategemeana sana na mtu alivyonijia,
Uzuri huwa siyatilii maanani naweza kukupa faka sehemu kesho nimesahau nikikuta pengine tukachat vizuri tu,
 
Basi atakuja mumoja atakuwa yusuph tu

Over πŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…