Hakuna wingi wa saa.Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Hivyo andika tu .. Saa 24 ndani..........
Hii ndiyo faida mojawapo ya Jf.
Unajifunza kila fani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wingi wa saa.Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Uko poa
Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Nimemuona bonge la Phaller huyo raia, anatafuta attention kwetu halafu anakuja tena anatusagia tena kugeuza nyekundu kuwa njano???🤣🤣🤣No kutongoza kawaida , mimi pia natongoza mno pm mkuu😅
Unamchukulia kawaida tu halafu ,upendo unabaki mahali pake mkuu😊Nimemuona bonge la Phaller huyo raia, anatafuta attention kwetu halafu anakuja tena anatusagia tena kugeuza nyekundu kuwa njano???🤣🤣🤣
NakaziaKwa jina la "Mshangazi" wewe mwenyewe unataka kutongozwa.
Kabisa mkuu hii code hata mimi nimeifungua japo ni kilaza😆Nakazia
Huyu n mkongweKabisa mkuu hii code hata mimi nimeifungua japo ni kilaza😆
Tunaelewa ila tunavunga tu mkuu😆Huyu n mkongwe
Aaaaaah naona naona mshangazi anatafuta kijana ...Hivi dogo Poor Brain umeuona huu uzi ? Wa Mshangazi ???
Bora umekuja King wa mishangazi 😆Aaaaaah naona naona mshangazi anatafuta kijana ...
😂😂😂😂
Ila anatumua njia flani hvi ambayo wataalamu tumeelewa
Mkuu mi nipo sana tu l...Bora umekuja King wa mishangazi 😆
Unamwonaje huyu mshangazi Mkuu?Mkuu mi nipo sana tu l...
Sema shangazi kanibana mnoooo.
😂😂😂😂😂
Anapitia upepo wa waliolazimika kujisajili baada ya kuview post kadhaa bila kuwa na akaunti.Tunaelewa ila tunavunga tu mkuu😆
Mshangazi hata avatar yake haivutii, binafsi siwezi mfuata kamwe😅😅😅Anapitia upepo wa waliolazimika kujisajili baada ya kuview post kadhaa bila kuwa na akaunti.
Sizani kama anajiamini...Unamwonaje huyu mshangazi Mkuu?