Zaire, the Congo, Congo Kinshasa,DRC......Swaziland, Eswatin..... Malawi ,Nyasaland.... Nk. Wanaposherehekea siku ya uhuru wao sijui wanasemaje! Confused.Tanganyika siyo Tanzania, Acha Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaire, the Congo, Congo Kinshasa,DRC......Swaziland, Eswatin..... Malawi ,Nyasaland.... Nk. Wanaposherehekea siku ya uhuru wao sijui wanasemaje! Confused.Tanganyika siyo Tanzania, Acha Uongo
Hawa walibadili majina hawakubadili Utaifa wala mipaka ya Nchi yaoZaire, the Congo, Congo Kinshasa,DRC......Swaziland, Eswatin..... Malawi ,Nyasaland.... Nk. Wanaposherehekea siku ya uhuru wao sijui wanasemaje! Confused.
Heshima kitu cha bure, kuita wazee wako waongo sio heshima!. Uhuru ni wa Tanganyika, hivyo kumbukumbu ni ya uhuru wa Tanganyika lakini sherehe za uhuru ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara! Kwasababu Tanganyika haipo tena, kilichopo ni Tanzania bara.Tanganyika siyo Tanzania, Acha Uongo
Hii thread inawahusu Watanganyika tu. Wewe endelea kuwateka hao Watanganyika.Mbowe bado yuko Hanang?
Hivi sherehe za uhuru wa Tanganyika na za Muungano ziko sawa??Jamani Tanzania si imezaliwa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Sasa inakuaje kusema unasheherekea uhuru wa Tanzania bara wakati kipindi hicho hata tanganyika haijaungana na Zanzibar?
Kama waliifuta Tanganyika sababu ya Tanzania waifute na Zanzibar sababu ndio zilizozaa neno Tanzania.
Nawatakia mapumziko mema ya kumbukumbu ya siku uhuru na jamhuri ya nchi iliyokuwa Tanganyika sasa Tanzania。Tarehe 9 Desemba 1961 Tanganyika ilipata uhuru toka kwa mkoloni Mwingereza,9 Desemba 1962 ikawa jamhuri。 Tarehe 26 April 1964 ikaungana na Zanzibar na kubadili jina na kuwa Tanzania,hivyo leo tunapoadhimisha siku hii,ile Tanganyika iliyopata uhuru wake siku hii sasa haipo tena,iliyopo ni Tanzania hivyo kumbukumbu ndio ya Tanganyika lakini maadhimisho ni ya Tanzania。Tanganyika siyo Tanzania, Acha Uongo
Uongo ni uongo tu hakuna kifupi chake. Tanganyika yetu siyo Tanzania.Hii ya kuita watu waongo, haijakaa poa!.
P
Shauri yako.Hii thread inawahusu Watanganyika tu. Wewe endelea kuwateka hao Watanganyika.
Ni lini Tanganyika ilibadilishwa jina kutoka Tanganyika hadi kuwa Tanzania bara? Huo ni uongo wa ccm. Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara hata kwenye katiba ya nchi haipo.Heshima kitu cha bure, kuita wazee wako waongo sio heshima!. Uhuru ni wa Tanganyika, hivyo kumbukumbu ni ya uhuru wa Tanganyika lakini sherehe za uhuru ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara! Kwasababu Tanganyika haipo tena, kilichopo ni Tanzania bara.
P
Tanzania Bara ni ya CCM Tanganyika ni ya Watanganyika.Hivi tofauti ya Tanzania Bara na Tanganyika ni ipi ? Apart from hizo herufi ofcourse ?
Jina la nchi ndiyo utaufa au hujui?Hawa walibadili majina hawakubadili Utaifa wala mipaka ya Nchi yao
Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika!View attachment 2837716
Hii ni kwa sababu Mwl Nyerere na viongozi wa TANU walikuwa Watanganyika na waliikomboa Tanganyika na wala si nchi nyingine yoyote ile.
Watanganyika hampaswi kuvumilia uongo wowote ule hata kama anayeuongea ni kiongozi mzito, kataeni hadharani ili mheshimike.
View attachment 2837078
Hatutakubali kupigwa fix hata kama anayetudanganya anatembelea mkongojo, Heshima ya namna hiyo hata Mungu ametukatazaHeshima kitu cha bure, kuita wazee wako waongo sio heshima!. Uhuru ni wa Tanganyika, hivyo kumbukumbu ni ya uhuru wa Tanganyika lakini sherehe za uhuru ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara! Kwasababu Tanganyika haipo tena, kilichopo ni Tanzania bara.
P