Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Kuishinda serikali Afrika? Kula pop corn uangalie movie
 
Asante Mkuu kwa kuliweka sawa hilo.

Wembe ni ule ule.
Kweli kabisa na uko sahihi - wembe ni ule ule - ila anayeutumia majira haya ni SSH siyo JPM na makali, unyoaji, ukataki na uparazaji ni ule ule; kama unabisha au huamini basi kamuulize Chairman Mbowe au Deputy wake Tobo au Kiongozi Mkuu wa ACT - Wananchi, ndugu Nyepesi! Hao wanajua ukweli wote.
 
Mbona mbunge wa Chadema mh Nusrat Henje naye alibambikiwa kesi lakini hatukani hovyo!
Nusrat ni mbunge wa ccm hata macho kumchuzi anajua hilo,ccm 2020 ilishinda viti vyote ...labda atakua mbunge wa chadema ya chato kilimani
 
Hivi kati ya Mdude na Mashehe wa UAMSHO nani amekaa jela muda mrefu? What did they say baada ya kuachiwa huru na mahakama? What did Eric Kabendera and Tito Magoti say after their release from jail? Tatizo si ukosoaji bali lugha inayotumika katika ukosoaji huo. Kama ninyi ni bora kuliko wao, kwanini basi mtende kama wao?

Word of caution: someni mtazamo wa Watanzania kwa Mama Samia ukoje (wouldn't tell), lest jamii iishie kuwatafsiri kuwa mnam-bully because she is a woman.
Very well articulated, sio lazima wao watende kama wale. So kwa sababu CCM imeiba na wao wanataka kutuaminisha kwamba wakipewa nchi wataiba so ndio?
 
Anajua akina Kibatara watamtetea tena! Stupid arrogance.

Rais anakosolewa kwa staha, kuheshimu Mkuu wa nchi ni lazima hata vitabu vya dini vinaelekeza. Huwezi kuzungumzia Rais kama unaongea na wahuni.
Yeye Ndio amefanya wasimuheshimu, anawambembeleza Kama Nini, wacha wamvuruge tu
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Kinachofurahisha Ni kuwa like jambazi lililomtenda vibaya Mdude Sasa hivi linaliwa kwa mpalange na shetani huko kuzimu, mwambie Mdude anicheki PM tuonane tukanywe bia maana shangwe la kufa pombe litahitihimishwa mwezi March 2022.
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
sasa wewe mjaze maujinga yako kuwakaishinda kesi siunaona tena ameanza kudemka? mwache alitafute tena ataenda kukaa ndani na nyie mtaendeleakuweka hashtag zenu mkiwa nje mmelala la waume zenu mwenzenu anatafunwa nyuma huko endeleeni kumjaza ujinga tu baadae ndiyo majuwakama alishinda kesi au alihurumwa tu
 
sasa wewe mjaze maujinga yako kuwakaishinda kesi siunaona tena ameanza kudemka? mwache alitafute tena ataenda kukaa ndani na nyie mtaendeleakuweka hashtag zenu mkiwa nje mmelala la waume zenu mwenzenu anatafunwa nyuma huko endeleeni kumjaza ujinga tu baadae ndiyo majuwakama alishinda kesi au alihurumwa tu
Huna hoja !
 
Back
Top Bottom