Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Kama hutaona kwamba mfumo wa mahakama umeachwa uwe huru,na kwamba serikali ikiamua huwezi kushinda kesi kirahisi,basi wewe ni wa kuonewa huruma sana.

Mimi nilikuwa naipenda CDM na nimewahi kupata kesi za kubambikiwa na jamhuri.Najua jinsi waendesha mashitaka walivyo mafundi wa kutengeneza ushahidi wa uongo na ukatiwa hatiani hata kama hujafanya kosa.

Waendesha mashitaka ambao ndiyo serikali,ndio walioamua kesi iisheje kwa kutoipa tena uzito. Na hii haijatokea bahati mbaya.

Msipotambua kuwa hii ni kwa sababu ya misimamo ya mama,hamtakuwa tofauti na punda
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
 
Ngoja tuone... Upepo umetoka kwa Sabaya sasa upo kwa Mdude...
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Wacha hizo Bro, alisahemewa. DPP angeweza kukata rufaa kwa sababu aliokolewa na technicality. Hali ya hewa ni nzuri kila mahali, Rais mpole anatulazimisha wote tuige upole wake - polisi, DPP, Hakimu, CCM, etc, wamebaki CHADEMA pekee wamengangania their pound of flesh. Na bitterness ya tundulissu makanikia yake kukamatwa. Hata kina Mbowe kurudishiwa hela yao ni huruma tu hewani, Mbowe alisema wabebe majeneza na Akwilina aliuliwa wakati CHADEMA wamezuia mwendokasi. Upole waMama na huruma yake wasiibeze, wananchi hawako tayari kuanza fujo against themselves.
 
Sijaongea bali nimeandika. Mdude ameenda jela, je Don mbowe (mtoto wa Mbowe) amewahi kwenda jela? Watoto wa wenzao wanachuliwa kama kafara, watoto wao wanalindwa... Wapeleke watoto wao front line sio kutumia watoto wa wenzao... Unadhani wazazi wa Mdude wanapenda?
Mwalimu alipeleka watoto wake kwenye vita dhidi ya nduli Iddi Amin Dada?
The only thing ni Makongoro aliyejiunga na jeshi yeye mwenyewe.
 
Hawakuwa na haja nae tena. Mdude toka zamani ana lugha za matusi tena ya nguoni kwa viongozi. Hana maadili na ni aibu Chadema kumlea namna hii.

Kama kweli ana ngozi ngumu arudie yale matusi yake kama alivyofanya kwa JPM then ndio mtajua ni vipi kuna mambo yana mipaka.
Dah mkuu acha mkwara mbuzi jamvin. Magufuli kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa
 
Huwa mnanishangaza hukumu ikitolewa tofauti na matarajio yenu mnasema majaji wanapokea maagizo toka juu,Ila ikiwafavor ni mmeishinda serikali.Jueni kua hao majaji mnaowapigia kelele ya kupokea maagizo ya kuwaumiza toka juu pia wanaweza pokea maagizo ya kutenda haki.

..wako baadhi wa majaji wanatumika kutoa hukumu za kihuni dhidi ya wapinzani.
 
Apelekwe hospital kwanza
Akirudi ndan mnaanza michango kila siku
 
Tundu lissu alitumia lugha ya kistaarabu akapigwa risasi.
Kumuita raisi ni dikteta uchwara kwa mlengo wa kuchafua taswira ya taasisi ya uraisi ni kauli ya kistaarabu tena ya kuongelewa na mtu anaetambua sheria?
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Wengi wanaongea kwa ushabiki Ila afahamu kwamba, DPP anaweza kukata Rufaa na atarudi ndani hata miaka kumi ijayo, atulie tu.

Ni busara na style ya Rais wa sasa ndio zimechangia hukumu Ile otherwise angekuwepo bwana yule hakuna hakimu angetoa hukumu kinyume na matakwa yake.

Saa nyingine kukaa kimya ni ushindi wa Vita pia sio kila jambo ajitutumie. Rais akitoa order ya kidizaini ataozea jela.

Kesi inapigwa tarehe ya mbali, anawekwa ndani halafu inatajwa Mara tatu tu kwa mwaka, inakaa miaka mitano ijayo sijui itamsaidia nini au wanaomsapoti watafanyaje?

Kuna wakati unapaswa mtu kujua huu ni ushindi Ila maisha tu maana mwenye nchi haogopi mtu aisee ukimuudhi hachelewi kukutoa kafara halafu wanaopiga kelele humu watapotea wote.

Ben Saanane hajulikani mpaka leo yupo wapi, watu wanaongea tu Ila mwenzao hayupo hivyo.

Apumzike kwanza
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Wengi wanaongea kwa ushabiki Ila afahamu kwamba, DPP anaweza kukata Rufaa na atarudi ndani hata miaka kumi ijayo, atulie tu.

Ni busara na style ya Rais wa sasa ndio zimechangia hukumu Ile otherwise angekuwepo bwana yule hakuna hakimu angetoa hukumu kinyume na matakwa yake.

Saa nyingine kukaa kimya ni ushindi wa Vita pia sio kila jambo ajitutumie. Rais akitoa order ya kidizaini ataozea jela.

Kesi inapigwa tarehe ya mbali, anawekwa ndani halafu inatajwa Mara tatu tu kwa mwaka, inakaa miaka mitano ijayo sijui itamsaidia nini au wanaomsapoti watafanyaje?

Kuna wakati unapaswa mtu kujua huu ni ushindi Ila maisha tu maana mwenye nchi haogopi mtu aisee ukimuudhi hachelewi kukutoa kafara halafu wanaopiga kelele humu watapotea wote.

Ben Saanane hajulikani mpaka leo yupo wapi, watu wanaongea tu Ila mwenzao hayupo hivyo.

Apumzike kwanza
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula...!!!!

Wembe ni uleule
Screenshot_20210705-011317.jpg
 
Huko kuishinda serikali ndiyo wembe wenyewe aliomaanisha Mdude. Kwamba kambwaga (kamnyoa) Magufuli mahakamani (wembe), na Samia akimpeleka jela atatumia mahakama (wembe) kumbwaga (kumnyoa).
 
kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula...!!!!

Wembe ni uleuleView attachment 1841719
Instagram_post_by_BAVICHA_&_CHASO_•_Jul_4,_2021_at_11:15am_UTC%22_.jpg
 
Huko kuishinda serikali ndiyo wembe wenyewe aliomaanisha Mdude. Kwamba kambwaga (kamnyoa) Magufuli mahakamani (wembe), na Samia akimpeleka jela atatumia mahakama (wembe) kumbwaga (kumnyoa).
Hakika
 
Pamoja na yote yanayoendelea kuhusu Mdude, ambayo nisingependa kuyarudia hapa, kinachopaswa kufahamika ni kwamba Mdude Nyagali alitolewa gerezani baada ya kuishinda serikali ya Tanzania Mahakamani.

Hakutolewa kwa Msamaha wa Rais wala hakutolewa kwa Huruma ya Mtu yeyote yule, alishinda Kesi ya kubambikwa, ya uongo iliyotungwa ili kumkomoa, shukrani kwa Chama chake na Jopo la Mawakili wake wakiongozwa na Mangula.

Wale wanaotaka anyamaze kama zuzu, yaani akae tu kimya kama ndondocha wa kiarabu pamoja na unyama wote aliotendewa kuanzia kule walikoshindwa kumuua baada ya Mungu na Wazungu kuingilia kati, hadi hizi njama za madawa ya kulevya, hatukuwasikia wakikemea unyama aliotendewa, na itambulike wazi kwamba waliomtesa na ambao walitaka kumuua Mdude bado wapo na wapo madarakani, kuanzia viongozi wa juu, watekaji, polisi na wengine wengi, aliyepungua ni mmoja tu, kwahiyo tunapomkosoa Mdude kwa kauli zake tufikirie pia aliyotendewa na watu hawahawa tunaowatetea.
Salute!!!!
 
Back
Top Bottom