Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Masahihisho kwa Wapotoshaji: Mdude Nyagali aliishinda Serikali Mahakamani, hakutolewa jela kwa Msamaha wa Rais

Anzeni kumtukana ndo mtajua kama mwanga umeonekana.

Mkoa niliopo leo asubuhi.kuna kijana mmoja katapika maneno kuwa huyu mama hafai kuwa raisi na maneno yenu yale machafu police wamepita nae kma kipanga kwa sasa yupo kuho kituoni.

Anajutia mdomo wake.

Sasa kama mnaona mwanga basi mtukaneni kama mlivyokuwa mnamtukana Magufuli.
hao polisi ni washamba na walimbukeni,mtu kutoa opinion yake si kuvunja sheria

maneno machafu ni yapi? hv mfano yule meko wenu aliyesema "Baki na mavi yako nyumbani kwako" nayo si maneno machafu?

au kwasababu alikuwa Rais mungu wenu?

SSH hana maneno machafu nasisi kwanini tumseme kwa maneno machafu itakuwa siyo haki

meko wenu alikuwa na maneno machufu ndy mana nasisi hadi sasa tunamaneno machafu kwake.
 
Mpumbavu wewe kunauhuru au huruma ya rais aliyepo madarakani ,mjinga mkibwa wewe sisi hatuhitaji huruma
Bia za asubuhi zina kuchanganya nani kasema kuna uhuru?

kusema at least kidogo mwanga unaonekana hapo kuna neno uhuru?

tuliza akili kama unasoma na kuandika kwenye mijadala
 
Yote hayo hayajalishi haina maana ya yeye kutumia maneno machafu na matusi kukosoa utawala kwani akitumia lugha ya kistaarabu atapungukiwa na nini?
Ndugu, hakuna lugha nyepesi na laini kwa "watawala" waovu, wabinafsi na wasiopenda wala kutenda haki dhidi ya wanaowaongoza....

Watawala wa aina hii, lazima wakosolewe kwa lugha kali sawasawa na matendo yao mabaya na yenye uvundo...

Kama wewe ni mkristo, unaweza kuwa unaelewa lugha aliyokuwa anatumia Yesu Kristo dhidi ya viongozi wa serikali wa aina ya Magufuli na sasa Bi Samia Suluhu Hassan...

Yesu aliwaita watawala wa aina hii "mashetani" au "watoto wa Ibilisi/shetani" kwa sababu matendo yao ni sawa na shetani...

Sasa nyie "Wa upande ule" mnakenua meno kwa hasira wakati mdude hata hajamwita Samia "shetani" au "mtoto wa ibilisi/shetani...!"

Sasa sijui angetumia kauli hii kali kama ya Yesu Kristo si mngeshaanza kunyonga watu nyie...?
 
Wembe ni ule ule ina maana kama Mh SSH atafanya yale ambayo alikuwa anayapinga kwa JIWE naye atapigwa SPANA.
 
Hawakuwa na haja nae tena. Mdude toka zamani ana lugha za matusi tena ya nguoni kwa viongozi. Hana maadili na ni aibu Chadema kumlea namna hii.

Kama kweli ana ngozi ngumu arudie yale matusi yake kama alivyofanya kwa JPM then ndio mtajua ni vipi kuna mambo yana mipaka.

Mkuu bila kuongozwa na unafiki, unapimaje ile kauli kuwa kama huna hela ubaki na mavi yako nyumbani iliyotolewa na Magufuli, ama kuna mwanamke mmoja hapa titi lake linafanana na barakoa? Au kauli za kuudhi na kudhalilisha za rais hazina mipaka?
 
Bia za asubuhi zina kuchanganya nani kasema kuna uhuru?

kusema at least kidogo mwanga unaonekana hapo kuna neno uhuru?

tuliza akili kama unasoma na kuandika kwenye mijadala
ndomana nimekwambia unapwaya sehemu hatuhtaji nuru hatakidogo ya kupewa namtu ,liwe swala LA kisheria bila kuingiliwa na nanafasi yamtu.
 
Mpeni kichwa tu ila akipotea Sasa hivi ndio msahau.
 
Hawakuwa na haja nae tena. Mdude toka zamani ana lugha za matusi tena ya nguoni kwa viongozi. Hana maadili na ni aibu Chadema kumlea namna hii.

Kama kweli ana ngozi ngumu arudie yale matusi yake kama alivyofanya kwa JPM then ndio mtajua ni vipi kuna mambo yana mipaka.
Mkuu kwani sheria (katiba) yetu inasemaje kuhusu watu wanaowatukana viongozi, uwa inasema watekwe wateswe na kisha wabambikiwe madawa ya kulevya? Nauliza tu nieleweshwe mkuu.
 
Hawakuwa na haja nae tena. Mdude toka zamani ana lugha za matusi tena ya nguoni kwa viongozi. Hana maadili na ni aibu Chadema kumlea namna hii.

Kama kweli ana ngozi ngumu arudie yale matusi yake kama alivyofanya kwa JPM then ndio mtajua ni vipi kuna mambo yana mipaka.
Jamaa huwa hakosoi anatukana kabisa...
 
Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CHADEMA, mmekaa kibinafsi sana, mnatumia udhaifu wa vijana aina ya mdude kujijenga. Hata rais awe mstaarabu namna gani hawezi kuvumilia matusi, kashfa na maudhi ya mdude.

Niliwahi kuonya hapa, ikiwa Chadema itaamua kutumia ubabe, vurugu au kashfa kujijenga kisiasa basi wasahau kuja kuingia ikulu, achilia mbali kua wengi bungeni.

CDM irudi ile ya dr slaa ya hoja, kujibu na kuibua hoja... Ijijenge kiitikadi, kisera na iwe na mambo ambayo ni pre defined ya kuyasimamia. Kila siku wanakuja na agenda mpya... Hawana tofauti na wahuni wa bar kujadili kila hoja.

Mdude aangalie familia yake... Hii ni nchi akae mbali na asivuke mipaka, kama kijana mwenzangu nimetimiza wajibu wangu kumshauri.
 
Anajua akina Kibatara watamtetea tena! Stupid arrogance.

Rais anakosolewa kwa staha, kuheshimu Mkuu wa nchi ni lazima hata vitabu vya dini vinaelekeza. Huwezi kuzungumzia Rais kama unaongea na wahuni.
Hebu tuoneshe hilo tusi la Mdude punguza mihemko.
 
Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CHADEMA, mmekaa kibinafsi sana, mnatumia udhaifu wa vijana aina ya mdude kujijenga. Hata rais awe mstaarabu namna gani hawezi kuvumilia matusi, kashfa na maudhi ya mdude...
Kaa tayari kwa mikutano ya hadhara muda wowote kuanzia sasa
 
Back
Top Bottom