Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanae, Adam Malima aliekuwa naibu waziriKighoma Malima kwani yuko hai?
Ni tag tafadhariNyengine Naishusha
Duu hizi bunduki mbona zinatumika vibaya?Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae kigoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndo wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia Ndugu Malima aliyekuwa hana hata siraha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na siraha.
Video na Upload soon
Tatizo mkuu wa kamati ya ulinzi ni mtuwa kamati ya vurugu we unategemea patakuwa salamaDar siyo sehemu salama ya kuishi
kaka ya 2 bado tuMchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae kigoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndo wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia Ndugu Malima aliyekuwa hana hata siraha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na siraha.
Video na Upload soon
du37mb zinagoma ku upload
Du! atakuwa huyu ndugu ana bahati mbaya, si ndie kipindi kile alienda Morogoro wakati akiwa hotelini akaibiwa vitu vyake hadi silaha na pete ya ndoa akavuliwa kidoleniNafikiri ni Adam malima atakuwa amechanganya majina kati ya la baba na mwana
Umenikumbusha mbali sana, mwaka 1992 yalipotoka matokeo yetu ya O-Level kuna jamaa yangu alikua amepata Division Four basi mzee wake kwa hasira akasema "hata sitaki kusikia mambo ya ku re-sit naliacha liende Polisi ili likajiendeleze lenyewe mbele ya Safari kama linadhani kulipa ada ni lelemama"enzi zile ualimu na uaskari ulikua option ya mwisho lzm hapo vi/.,.'za wawepo, wazito kufundishika na kuelewa mambo
Ndo polisi wetu hao mkuu yaani wamekosa kabisa pakufyatulia risasi ndo maana wanatafuta popote penye tukioHaikuwa na umuhimu kwa Polisi kufyatua risasi juu kwa sababu hakuna aliyekuwa anamtishia au kutishia amani ya wananchi.
Mwanae, aliyekuwa naibu waziri awamu ya 4Kighoma Malima kwani yuko hai?
Mwanae, aliyekuwa naibu waziri awamu ya 4
Mi nimeona mlegezo unapanda cruza.nimeiona video yani hawa askari wetu aisee, daah,