Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Kwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi hewani.

Kwa sababu, naona maelezo hapo yanasema wananchi walikuwa Karibu kujichukulia sheria mikononi.

Hivyo, polisi kuokoa maisha ya aliyedhaniwa ni jambazi ili asitolewe roho.

Au mi nimeelewa tofauti!?
 
Kwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi hewani.

Kwa sababu, naona maelezo hapo yanasema wananchi walikuwa Karibu kujichukulia sheria mikononi.

Hivyo, polisi kuokoa maisha ya aliyedhaniwa ni jambazi ili asitolewe roho.

Au mi nimeelewa tofauti!?
Wananchi walivyotaka kumpiga mtu wa majembe polisi wakaingilia kati, watu wakauchuna sasa baada ya kuondoka polisi wakapanda gari wakasogea mbele kidogo ndo hilo varangati la risasi lilipoanza
 
Mkuu haraka za nini sasa kuleta habari bila ya picha to support.
 
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae kigoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndo wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia Ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Video na Upload soon

Huyo mtu wa majembe ilitakiwa achomwe kabisa ili akili ikae sawa.

waache ubabe kwani kuonesha kitambulisho kuna shida gani?
 
Wananchi walivyotaka kumpiga mtu wa majembe polisi wakaingilia kati, watu wakauchuna sasa baada ya kuondoka polisi wakapanda gari wakasogea mbele kidogo ndo hilo varangati la risasi lilipoanza

Aaaah, OK

Asante kwa kuongezea maelezo

Nimekupa like
 
Kaka yake au Mdogo wake na Mh. Adam Malima? Ukoo ule nasikia hadi house boy anamiliki AK47, polisi wanahaki ya kujilinda kwa kurusha risasi hewani maana hai ndugu wana hobi ya kutembe na mibunduki!
 
Mhhh....Majembe tena? Au Yono?
Alivyoulizwa wewe nani akasema Majembe onyesha kitambulisho akawa analeta ubabe akajua Masaki wote ni lelemama kilichotaka kumpata nadhani heshima itamrudia.
 
Back
Top Bottom