Wanachohitaji ni kujua kusoma, kuandika na kuhesabu hayo mengine someni ninyi. OVAhuyo polisi atakuwa hana vyeti
Wananchi walivyotaka kumpiga mtu wa majembe polisi wakaingilia kati, watu wakauchuna sasa baada ya kuondoka polisi wakapanda gari wakasogea mbele kidogo ndo hilo varangati la risasi lilipoanzaKwa maelezo haya, polisi hajafanya kosa kabisa kufyatua risasi hewani.
Kwa sababu, naona maelezo hapo yanasema wananchi walikuwa Karibu kujichukulia sheria mikononi.
Hivyo, polisi kuokoa maisha ya aliyedhaniwa ni jambazi ili asitolewe roho.
Au mi nimeelewa tofauti!?
Anaitwa Adam Kighoma Malima, Mbunge wa zamani Mkuranga, zamani pia Naibu Waziri wa Fedha, hawa watu wa auction mart naona viburi, jeuri na nguvu kuliko akili, tena wanatumia polisi, harufu ya rushwa tupu..Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Mchana huu pamesikika milio ya risasi maeneo ya Masaki karibu na Double tree Hotel.
Yalikuwa ni majibizano kati ya Majembe Auction Mart waliokuwa wameambatana na Polisi walipojaribu kukamata gari lilokuwa limeegeshwa pembeni ya barabara hali ya kuwa Dereva yupo ndani.
Inasemekana gari lilikuwa la Mwanae kigoma Malima aliyeenda IOM kufatilia ishu zake.
Mtu wa Majembe akavamia gari hilo na alipodaiwa kuonyesha vitambulisho aligoma kutoa ndo wananchi walipolizingira gari wakitaka kumpiga wakijua ni jambazi.
Polisi aliingilia kati na katika majibizano akafyatua risasi juu kumtishia Ndugu Malima aliyekuwa hana hata silaha wala hakukuwa na mwananchi aliyekuwa na silaha.
Video na Upload soon
Wananchi walivyotaka kumpiga mtu wa majembe polisi wakaingilia kati, watu wakauchuna sasa baada ya kuondoka polisi wakapanda gari wakasogea mbele kidogo ndo hilo varangati la risasi lilipoanza
Huyo mtu wa majembe ilitakiwa achomwe kabisa ili akili ikae sawa.
waache ubabe kwani kuonesha kitambulisho kuna shida gani?
Aiseeeh,
Kwa hiyo, aliepaki gari barabarani yeye huoni kosa lake au kwa vile ni Gari la Kigogo!?
Kighoma Malima kwani yuko hai?
Mhhh....Majembe tena? Au Yono?Nafikiri ni Adam malima atakuwa amechanganya majina kati ya la baba na mwana
Matumizi mabayaBastora za ninii???au hizo risasi hazina kazi serekalini?