Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Hii mizinga 21 inayopigwa wakati sherehe za wakubwa iko siku itaamriwa iwekewe live shells ielekezwe mbagala kama enzi za jean bedel bokasa.
 
hana,hata
 
Tumeona Adam akimfokea kijana wake aondoke NA aingie kwenye gari, hii ilikuwa busara ya kupunguza jazba ya tukio. Lakini polisi alizidisha jazba NA kuendelea kipiga kelele NA kupiga risasi juu.

NA video inaonyesha Adam alikuwa mtulivu kwa kiasi
 
Wamegeuziwa upanga,
 
tatizo wabongo tunashabikia siasa kaka umezungumza vizuri wabongo hatukuzoea kuheshimu utawala wa sheia sasa imefikia mahala tubadilikee
 
Mkuu ume panic tu..
Hakuna tusi hapo na kitendo cha huyo askari ni cha kulaaniwa.
Hakikubaliki
 
Acha waonyeshwe adabu, wamekuwa kiherehere sana na CCM yao. Llisu alisema wakimalizana na wapinzani wataanziwa Ma-CCM
 
Hakuna watu wanaopewa training namna ya kukamata wahalifu au kudeal na RAIA kwenye msongamano kama polisi,Ila wanapenda Sana kujionyesha wao ndiyo Serikali. na huyu akifukuzwa kazi wengine watajifunza.
hawezi kufukuzwa kamwe maana risasi haijasababisha madhara
Mwenye Enzi Mungu ibariki nchi yangu Tanzania na watu wake milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich AMUN RA!
 
"wakimaliza kuwauwa wapinzani watawafuata wanaCCMM". In Godbless Lema's voice
 
Huyo Askari software yake ya ubongo ili vamiwa na virus wa WannaCry.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…