Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

HAO SIO MAJEMBE NI KAMPUNI YA PRE SCAN AUCTION MATT NDO WAKALA WA KUTOKA MANISPAA YA KINONDONI NA KAMPUNI NYINGINE INAITWA HEPAUTWA INV.
HAO MAJEMBE WAO NI ILALA PAMOJA NA TAMBAZA.
 
Inasikitisha kuona risasi ambazo serikali inagharamia pesa nyingi zinatumika visivyo kwa kutishia raia daah bongo kweli tunaenda mbali
 
Alitakiwa aonyeshe kitambulisho but why alikataa?na kama yuko kazini kwa shughuli hiyo kitambulisho muhimu.maono yangu
 
Pole yake Malima.
Hii inaweza kumpelekea akashtakiwa kwa kuwazuia askari kufanya kazi yao.
 
Na usikute hadi wa leo hajajiendeleza
 
Wamejifunza kutoka kwa Harmorapa...

hamorapa alitoka mbio! ila qadri siku zinavozidi kusonga waTanzania wanatiwa usugu na watendaji wa Rais wa kutoogopa bunduki, nasema hili halipendezi na ni ishara mbaya sana! Enzi zetu sisi ukisikia bunduki inapigwa nje unaingia uvunguni mwa kitanda kwa kuogopa! Dah sasa hivi watu ndio kwanza wanashabikia utadhani kuna movie unarecordiwa!

pale utadhani yule askari rambo anafyatua risasi! all in all si jambo zuri kabisa askari kufanya yale! nashauri wote wahojiwe na mkosa atiwe hatiani!
 
 
Litapita tu kama upepo ila angekuwa ndo Tundulisu au kiongozi wa chadema ,yaani ingekuwa patashika ...mkuu wa polisi nchini angetoa tamko, kamanda wa ilala sijui kinondoni angetoa tamko. Waziri mwigulu angetoa tamko, mkuu wa mkoa, wilaya ,uvccm ...woote wangemlaani huyo mpinxani kumtishia polisi na kushindwa kufanya kazi yake..
Wakati huo huyo mpinzani yupo Segerea na kanyimwa dhamana.

Hizi double standard ndo zinawafanya wananchi kufurahi watu fulani wakimfuata JKN
 
Ningekuwa mkulu kiukweli ningehakikisha askari huyu anapanda cheo haiwezekani wajinga wachache wachukulie nchi kama yao kisa viongozi
Viva askari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…