Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,904
- 3,006
- Thread starter
- #121
Sijaandika Majibizano ya Risasi usininukuu vibaya, Nimesema majibizano kati ya Majembe waliokuwa na polisi, na neno majibizano hapo lilikuwa na maana ya kupishana kwa kauli au kufokeanaMajibizano ya risasi maana yake nini?
Sio kila habari inahitaji ushabiki jamani