Sijaandika Majibizano ya Risasi usininukuu vibaya, Nimesema majibizano kati ya Majembe waliokuwa na polisi, na neno majibizano hapo lilikuwa na maana ya kupishana kwa kauli au kufokeanaMajibizano ya risasi maana yake nini?
Sio kila habari inahitaji ushabiki jamani
mkuu umekoseaUnahisi uhakiki unapaswa kupita huko!?
Mkuu tukio zima linaweza kuwa justified,lakini huyu askari kaonyesha udhaifu katika askari wetu,kama wewe tayari ni law enforcer unapanic na kutumia mkono mmoja ku fire deadly weapon with full of ammo,katikati ya raia ambao hawana silaha hicho ni kinyume na mafunzo,kuna askari anbao wameshiba lakini hawawezi kupiga risasi kwa mkono mmoja halafu kitendo cha askari mwenzake kumkumbusha na kuokota maganda ya risasi oh my utasema ametoka kwenye rag tag armyChombo cha moto anapiga kimadaha vile kwa mkono mmoja, hivi hiyo silaha ikateleza hapo ataua wangapi, polisi wetu wawe makini wakiwa na vyombo vya moto.
Haikuwa na umuhimu kwa Polisi kufyatua risasi juu kwa sababu hakuna aliyekuwa anamtishia au kutishia amani ya wananchi.
Mkuu tukio zima linaweza kuwa justified,lakini huyu askari kaonyesha udhaifu katika askari wetu,kama wewe tayari ni law enforcer unapanic na kutumia mkono mmoja ku fire deadly weapon with full of ammo,katikati ya raia ambao hawana silaha hicho ni kinyume na mafunzo,kuna askari anbao wameshiba lakini hawawezi kupiga risasi kwa mkono mmoja halafu kitendo cha askari mwenzake kumkumbusha na kuokota maganda ya risasi oh my utasema ametoka kwenye rag tag army
Kauli yako una uhakika nayo?huyo polisi atakuwa hana vyeti
Ujinga wanao wenyewe wakiuliwa wanataka tuwasaidie mjinga mno Huyo jamaa kama anayo benderea mpeleken kibitiHivyo ndivyo polisi wetu wapopandwa na hasira na kuua raia wasio na hatia; baadae kuweza kupoteza ushaidi unasikia, polisi imefanikiwa kuuwa jambazi moja na mengine kutoweka na kutokomea kusikojulika baada ya jambazi kuanza kurushia polisi risasi. Polisi hao waliweka mtego na kuwanasa kabla ya kufanikiwa kuiba. Kumbe maskini ya mungu tukio halikuwa hivyo. Dhuu Tanzania bado tuna safari ndefu sana kupata haki ya kila mwenye haki.
wapi hiyo mkuuNaona Tanzania sasa kutishiana siraha inaanza kuwa kawaida, Malima nae leo ameonja joto ya jiwe baada ya kushuhudia SMG ikikohoa mbele yake.
Video Inakuja
Achananae mjinga huyoSijaandika Majibizano ya Risasi usininukuu vibaya, Nimesema majibizano kati ya Majembe waliokuwa na polisi, na neno majibizano hapo lilikuwa na maana ya kupishana kwa kauli au kufokeana
natania tuKauli yako una uhakika nayo?
Safi sana huyo polisi, angempiga hata risasi ya mguu, maana hawa wanasiasa wanajiona wenyewe ndio Kila kitu