Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
Kwa kweli askari wengine wanahabisha jeshi letu pendwa kiasi cha kuonekana halina nidhamu kabisakufikia kiasi cha kutumia silaha ovyo ovyo tu.
IGP please chukua hatua maana inaoneka makamanda wako akina Mkuu Silo hilo la nidhamu ya watu wao linakuwa gumu kweli na mtihani kweli kweli!!!!!!!!!!
IGP please chukua hatua maana inaoneka makamanda wako akina Mkuu Silo hilo la nidhamu ya watu wao linakuwa gumu kweli na mtihani kweli kweli!!!!!!!!!!