Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Aliyekuwa Waziri wa Habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye alitishiwa bastola. Wengi wameona na kusikia. Leo,aliyekuwa Mbunge wa Mkuranga,Naibu Waziri wa Fedha na MNEC, Adam Kighoma Malima ametishiwa bunduki.

Ufanano wao ni kuwa wote wamesukumwasukumwa na waliohusika kuwatishia. Ufanano wao ni kuwa wote walikuwa viongozi ndani ya CCM na Serikalini. Ufanano wao ni kuwa hata Baba zao walikuwa viongozi chamani na serikalini.

Wote wametishiwa silaha. Watishaji wamejiamini na wapo wenzao waliowasihi wasitishe zaidi ambao nao walikuwa na silaha. Watishaji na watishwaji ni vijana. Watishwaji wote wametishiwa Dar.

Something is wrong somewhere. Who is next?

Silaha ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Askari yupo sahihi kufyatua risasi hewani ila hayo maneno yaliyokuwa yanamtoka mdomoni ndo yameondoa dhana yote ya kufyatua hewani....

Mkuu hizo ni mbinu za yeye kujihami wala uwezi kumulahumu - kumbuka kwenye umati kuna watu wengine wenye akili fyatu wangeweza kumdunda na jiwe kichwani bila ya kujali kama ana bunduki au la maanake kawavurugia hazma zao walitaka kumuua walio dai alitaka kuiba sijui gari bila ya kuwa na ushahidi - sasa unafikiri katika mazingira hayo Askari wa watu afanyeje kama siyo kuwakumbusha watu kwamba anakuwa protected na Jamuhuri, hayo ni mambo ya kisaikiolojia ya kujaribu kuwa-contain watu wakorofi - tatizo hapa watu hawachukulii kisa kizima wakiwa level headed ni wepesi sana kulahumu Dola bila ya kutafakari kwa undani tukio zima.
 
Napata wasi zaidi kuona wananchi kutotetereka wala kutikisika, achilia mbali kukimbia baada ya poti kupiga risasi hewani. Hii sio dalili nzuri kwa Tanzania yangu kisiwa cha amani.
 
Hakosi cheti feki huyo. Akili ya huyo askari inawakilisha asilimia 90 ya maaskari wetu. Angeua mtu wangesema wamepambana na jambazi wamemuua wakati wakirushiana risasi
 
MANENO YA MH TUNDU LISSU BUNGENI uYAMETIMIA.LEO KWETU UPINZANI KESHO KWENU CCM TUANZE NA NAPE SASA ADAM

Swissme
 
Sasa kupaki gari na dreva yuko ndani na isitoshe ni pembeni inaweza leta balaa la Risasi Hawa polis hawajui Kazi yao wizara ya ulinzi ishaferi
 
Jamani mbona hii inch tunavyoishi mpaka inanikatisha tamaa mpaka nataka kukufuru kesema kwamba bola nisingezariwa.
 
Napata wasi zaidi kuona wananchi kutotetereka wala kutikisika, achilia mbali kukimbia baada ya poti kupiga risasi hewani. Hii sio dalili nzuri kwa Tanzania yangu kisiwa cha amani.
Amani ipi? Taifa la waoga wasiojiamini
 
Hakosi cheti feki huyo. Akili ya huyo askari inawakilisha asilimia 90 ya maaskari wetu. Angeua mtu wangesema wamepambana na jambazi wamemuua wakati wakirushiana risasi

Halafu utasikia "aliyepiga risasi juu sio askari polisi" hahahaaaaa
 
hao ni ndugu wakigombana tuchukue majembe yetu tukalime.....ili wakianzisha hivyo vi wonder wakute malighafi zipo
 
Naona kuna tatizo la mafunzo, ukiunganisha na wanavyo nyang'anywa silaha huko kibiti, utagundua hawa police wetu wamejiunga na jeshi kwa sababu hawakuwa na nafasi nyingine,

Nimependa sana yule askari mwingine aliyekua anamzuia , very professional.

Silabasi ya mafunzo ibadilishwe
Utasikia jeshi la polisi linafanya kazi kisasa, sasa sijiu kisasa yenyewe ndo hii ya kwenye kideo, nimemwona bwana mdogo mmoja pale usalama nae anazungukazunguka hata hatulizi pressure iliyopo pale, sabab polisi alishapanic ilibd wale vijana wausalama wafanye kaz Yao, au sijui walikuwa wanasubir had damu imwagike?
 
Tufanye ulinganifu!
 

Attachments

  • IMG-20170515-WA0047.jpg
    IMG-20170515-WA0047.jpg
    57.2 KB · Views: 24
Back
Top Bottom