Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Hivi kuheshimu Serikali au kuigopa Serikali?? Kwanini mwenzake alimwambia aache?Alijua wanamakosa.Ifike mahali pande zote mbili ziheshiamiane.Polisi lazima waheshimu RAIA na RAIA waheshimu polisi bila polisi kuheshimu RAIA hakuna kujeshimiana.Angeua RAIA wange sema polisi kaua Jambazi Sugu.

Mbona enzi za JKN huu upumbavu ilikuwa hakuna.Ushenzi huu upo awamu hii tu kisa polisi aogopewe.
mwenzake alikuwa anatuliza jazba ila he had a reason ya kuwa na jazba kama husikilizwi unapotoa amri halali
Hata mimi siwapendi polisi ila kuna mahali siwapendi viongozi wanaojidhani ni above the law
 
Daah serikali inabidi iishughulikie hili swali risasi zinapotea bure na hizo ni kodi zetu .polisi watatuuwa
 
Jamaa inanyesha ni msambaa [emoji16]

Kazoea kuvuta bangi ya mbagala sasa leo sijui nani kamvutisha ya chugga.

Akija kuangalia hiyo video baadae anaweza asiamini macho yake.
 
  • Thanks
Reactions: 247
Polisi alikuwa anatafuta nini pale? Na baada ya kujua kwamba eneo ni salama walifanya nini? Nataka kujua chanzo cha hili " zogo" ni nini?
 
Kwa Matumizi Haya Ya Hovyo Hovyo Ya Silaha
Ni Hatari Sana Kwa Askari Lakini Pia Wananchi Tujitahidi Kujua Nguvu Ya Umma Ni Kubwa Kuliko Silaha.
Utemi Haufai Popote Pale!!!!


Hata wanachi wanazo silaha, tusipo angalia itakuwa ni kuwahiana sasa! Polisi hapewi silaha ili atishie namna hiyo. Kuna situation ambapo hubidi kutumia. What I can see kuna hali ya mtafaruku kati ya raia na polisi.
 
Duh uzi huu hata kulike comment unaogopa maana jamaa wengi wamemwaga mboga.....jiwe gizani hilo
 
Hivi kuheshimu Serikali au kuigopa Serikali?? Kwanini mwenzake alimwambia aache?Alijua wanamakosa.Ifike mahali pande zote mbili ziheshiamiane.Polisi lazima waheshimu RAIA na RAIA waheshimu polisi bila polisi kuheshimu RAIA hakuna kujeshimiana.Angeua RAIA wange sema polisi kaua Jambazi Sugu.

Mbona enzi za JKN huu upumbavu ilikuwa hakuna.Ushenzi huu upo awamu hii tu kisa polisi aogopewe.
Aisee,ni kweli wangesema polisi kaua jambazi,angekua mlalahoi.haogopwi mtu saiv,tutaheshimiana tu!..
 
Jamaa anaongea kwa uchungu mpk ataka kulia, Magu muonee huruma apande kdg apunguze stress..
 
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Kila Police ni serikali?mmh only in tz
 
Unaelewa Principles Na Maadili Ya Matumizi Ya Silaha? Hata Kama Malima Alidharau, Yule Polisi Kakosea, Hakukuwa Na Ulazima Wa Kufyatua Risasi, Vp Madhara Kwa Wananchi?
Hii ishara ya kufyatua risasi hewani unaelewa vema mkuu???kama kudhuru raia asingepiga hivyo
Hakuna hawa askari hua wanakurupuka sana wakishakua tu na hivo vibunduki wanajua watu watawaogopa.
 
Wao kwa wao.ila Polisi wawe makini zaidi kutumia busara mahali panapowekana.Wananchi pia tunapaswa kujiongeza katika kuelewa mambo,pengine kuna mtu alimsaidia na kumtetea alipopiga hiyo binduki...
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....

Lakini tunasikia maneno kutoka kwa police anasema, kwanini hamtaki kuheshimu serikali? I would have diagnosed this to understand whats going on...
 
Back
Top Bottom