Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....

Mkuu, labda nikuulize suali moja tu.

Je, ni kwanini askari mwingine alikuwa akihangaika kumtuliza yule askari ambae alifyatua risasi hewani?
 
Kumbe kapiga risasi ushabiki, kisa kaambiwa hana mamlaka... Dah, vijana wamekosa weledi wa kazi... Mtu kaweka mikono mfukoni kabisa wewe ka li 10Kg unajiona mwanaume....
Ni kosa usirudie kufanya utakuja kuvunjwa miguu au mikono kama sio kufa. Ukiona MTU ana silaha kesha koki toa mikono mfukoni ipandishe kichwani.
Ukiacha mikono mfukoni atajua unatoa cha moto.
Acha kabisa.
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
 

Attachments

Sasa si angemjaza tu risasi kwanini alikuwa anaongea tu?
We unaona mwisho wa siku nani kachukua credit pale?
Unafoka tu halafu unaondoka?
Yes leo kapata credit waziri... ila polisi angempa 5 za kichwa tungepata sababu ya kuitukana CCM ila jamaa angepata credit mbinguni. In my normal life siwezi kubishana na polisi. Most of them ni serial killers waliojificha huko ili waue kirahisi.
Kazi gani unajifunza kuua, kugombana, kukimbiza ... kesho tunataka wawe na busara
 
sijui ni elimu au kuvuta bangi, inamaana hawa askari hawafuatilii hata habari kwnye magazeti na tv kujua huyo raia amewahi kuwa kiongozi tena kiongozi wa kitaifa yaani sio mbunge tu wa jimbo bali pia naibu waziri? hii ni aibu kwa jeshi la polisi la nchi hii.
Yaweza kuwa akili yako ndio haipo vizur kwahyo kisa alikua kiongozi ndio avunje baadhi ya sheria za inchi du kweli wabongo wakati mwingne mantaka kuonewa kisa mtu alikua kiongozi nyie mwaona sawa tu
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Ilianzia clouds,ikaja kwa nape na sasa malima twende tu
 
Ukisikia mwalimu anamfokea kwa nguvu mwanafunzi ati KWANINI HUNIHESHIMU,.....jua Mkuu wa shule aidha analewa gongo au ni swahiba wa mwanafunzi!!

"Kwanini hamuiheshimu seriikali??!!!.."...Hili ni swali la mtu aliyekata tamaa!!!

Mithali 27: 12 Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,
lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito
zaidi kuliko hivyo vyote viwili.
 
Weww

Wewe unatetea usilo lijua,polisi walikuwa wanataka wapishwe wakipiga honi,walipoona huyu dreva hajawapisha wakaanza kumharas,ndiyo wakawa wanahojiwa wapishwe kama nani?na kama huu ni msafara kiongozi wao yuko wapi?mengine utayaona kwenye youtube.
Wewe unaonaje polisi wako katika majukumu yao wanaomba wapishwe ni sahihi au sio sahihi?
 
SERIKALI INATOKANA NA WANANCHI,IPO KWA AJILI YA WANANCHI,WENYE NAYO NI WANANCHI,WATUMISHI WA SERIKALI NI WATUMISHI WA WANANCHI HIVYO WANANCHI NDIO SERIKALI.
 
mwenzake alikuwa anatuliza jazba ila he had a reason ya kuwa na jazba kama husikilizwi unapotoa amri halali
Hata mimi siwapendi polisi ila kuna mahali siwapendi viongozi wanaojidhani ni above the law


Hii ndio society tuliyo ijenga, non-mannered. Wote wana makosa lkn polisi ana makosa zaidi, hutumii silaha namna hiyo hata siku moja.
 
Mh Mwigulu upo humu kama waziri. Tujiulize sie tulibarikiwa kwenda nchi za wenzetu police suala la kwanza anatakiwa akusaidie kama raia na sio kukihukumu.

Huyu askari anainesha ni muhuni anajibu majibu kana kwamba kazi ya upolisi alilazimishwa kwa njaa zake.

Hapo ni masaki IOM front kabisa ya Double tree kitovu cha wageni watalii na wawekezaji wanaokuja nchini mwetu hii inaleta picha gani kwa wageni. Mimi nilishawahi kupita kwenye nyekundu nchi za watu likuwa j2 na askari alinihoji na kujuà mgeni akaniambia usirudie hata kama hakuna mvukaji

Kwa kweli tunahitaji wasomi zaidi ambao wataleta civilisation kwenye jeshi letu la police
 
Weww

Wewe unatetea usilo lijua,polisi walikuwa wanataka wapishwe wakipiga honi,walipoona huyu dreva hajawapisha wakaanza kumharas,ndiyo wakawa wanahojiwa wapishwe kama nani?na kama huu ni msafara kiongozi wao yuko wapi?mengine utayaona kwenye youtube.
angewapisha tyu wapite maana km walikuwa wanawahi kuokoa mali au uhai wa watu?
 
Kila nikitazama ile clip, waswasi wangu ulikuwa kwenye ile AK47 recoil, yule askari ilimshinda kuishika kwa mkono mmoja, angeweza uwa watu pale, kweli akili ni nywele, yawezekana hawa ndiyo wale wenye vyeti bomu, sijaona sababu ya aina yoyote kupiga juu risasi, yale yale...
 
Back
Top Bottom