Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mbona umekuwa mkali sana mkuu?ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong