Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Uzuri wote Polisi na Malima wanataka Chama kimoja chama cha Majambazi aka CCM waache waonyeshane number.

Sikujua polisi wote ni wana CCM, Ina maana upinzani ukishika madaraka polisi wote wataachishwa kazi?

Haya tungoje Red Brigades watakapo kuwa polisi
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....

Pitia video hii utajifunza mengi
 
Watanzania tumezoea kuongea kwa fashion ya upepo wa kisiasa.

Kwa mtazamo wa haraka haraka wananchi walipomzingira mtu walijua ni mwizi na wangeweza kumuua sasa polisi kupiga risasi juu ni kwa nia ya kutawanyisha watu ili kuepusha kifo cha jamaa.
Fashion zingine zinatuvua nguo ni vema tukaachana nazo.

Tazama heading ya hii habari, risasi zarindima! Katika maelezo risasi moja ndiyo imepigwa hewani sasa risasi zirizolindima ni ngapi na ziko wapi katika maelezo?

Mwanzoni mwa habari, mleta mada anasema kumekuwepo na majibizano ya risasi, mwishoni anasema risasi moja ndiyo imefyatuliwa hewani, sasa hayo majibizano ya risasi ni baina ya polisi na nani? ikiwa mmiliki wa gari hakua na silaha na wananchi hawakua na silaha!
Hebu tafuta hiyo video uangalie basi
 
Dharau hizi hizi dhidi ya polisi ndizo zimemfikisha Manji katika usumbufu ule unaomuandama sasa hivi, let say Bashite alikosea kumuita kupitia media, Manji kwakua alijua yeye ni maarufu akaita media kuongea na kutoa kejeli, kafika police wapambe wake wanasafisha gari kama ishara ya dharau.

Jamani hakuna anayependa kudharauliwa wala kupandishiwa sauti awapo eneo lake la kazi, hata uende getini umkute KK security ukionesha dharau/kejeli ya kazi yake lazima atalazimika kukuzuia usiingie na pengine utazuka ugomvi.

Watanzania mara zote tunasema polisi ndio watu wabaya lakini mabaya yetu hatuyasemi, hata wewe unayedhani polisi wanakosea kila siku ukipata nafasi ya kuwa polisi hutakubali kudharauliwa mtambueni polisi kama kiongozi wa ulinzi na usalama sasa mnapoonesha dharau lazima atakwazika(human nature)
 
Askari wa tanzania walipofikia sasa hawana tofauti na askari wa uganda ....apimwe kilevi huyo askari hii sio bure
 
Huo ushauri mzuri, ila naona kama Polisi walikuwa wanamfaham fika na ndio maana hata alipoweka mikono mfukoni hawakiwa na shauku....
Acha kudhani mbele ya bullets. Don't do that. IDD Amin rais wa Uganda alitishiwa bastola na mtoto wake Kagwa miaka 12. Amin alipiga magoti na mikono juu.
Yule askari Alisha poteza umakini. Chochote kingetokea na yeye kujiua.
SMG inabeba 30.watu kama 20hivi wangeipata fresh
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Washauri ujinga waishie jela kama yule aliyelamba miaka 15 baada ya kuwa provoked na kumuua mwandishi!
 
HAWA POLISI WETU INABIDI WAPEWE MECHI YA KIRAFIKI COZ WANA HAMU SANA YA KU_PULL TRIGA......nchi ipi inafaa wakuu tuandike proposal
 
ulimsikia askari aliyefyatua risasi akiongea kwa uchungu "kwanini hamuheshimu serikali??"
Tanzania viongozi wanajiweka matiti mbele na usiye kiongozi unanyanyaswa.
Wote tuwe watii wa sheria......tusiwaangalie polisi kwa makengeza kwakuwa kila mara wako wrong
Angejifungua kama alikuwa na uchungu!
 
Na sijui ametoa wapi mamlaka ya kuuliza swali kama lile..

Swali la askari lilipaswa liwe "kwanini hamtii amri halali"?
Tukichukulia undani wa tukio..huyo askari anatakiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu hata kama kulikuwa na mhalifu pale bado hakustahili kufyatua risasi angani kwa kuwa hapakuwapo mtu aliyefanya fujo wala aliyetishia amani wala mwenye silaha ya wazi eneo lile!!...THAT WAS AN ACT OF EXCESSIVE USE OF FORCE!
 
Back
Top Bottom