Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Tena nafyatua ile yenyewe dadadeki
 
Wacha wewe ndugu yangu umesahau kipindi waliokuw a wanawalalamikia polisi ni wakina nani? Wewe ulikuwa upande hupi mpaka usione hilo jambo?

Kweli nimegundua Watanzania Ni Wepesi Wa Kusahau, Leo Utamuona Huyu Rafiki (Kama Wewe Hapo Unavyosema Etti Za JKN).... Lakini Sasa Wanatafuna Na Upande Wako Unaona Sasa Ngumu Kumeza.

Nina sema hivi wakati wa JKN hukuti polisi anamsakizia MTU kesi.Hivi vituko vya polisi zimeanza baada ya Mkapa kuwepo madarakani.

Wanachotakiwa kufanya kuheshimu watu ili wahwshimike
 
Siku akikutokea ndiyo utajua kaka .Leo ni furaha.Yule polisi hajaguswa wala hajatukanwa.Hivi hawa Yono miaka UA nyuma walikuwa wanatembea na polisi??

Hivi unajua hawa Yono wanadai rushwa??Maeneo ya Masaki yote ni nyumba za watu unapoenda kumkamata magari hivi ni kweli wrong parking au tu natafuta pesa za kufuata viatu??
Unaweza kuniambia yule jamaa aliyekua anawasogelea polisi alikua anasema maneno gani?
 
Mithali 27:12....jiwe ni zito na mchanga ni mzito... Lakini kukasirishwa kwa mpumbavu kuzito kuliko hivyo vyote viwili (uzito na mizigo) [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Sasa mnaanza kukaidiana na kukamatana wenyewe kwa wenyewe mtakulana hadi mbaki mifupa tupu!!...Hii ya malima hii ni ishara ndogo tu!!...zipo nyingi tutaziona!
 
Usiwe narrow minded nimekupa mfano, kimsingi unapoonesha dharau tegemea feedback mbaya kutoka kwa yule uliyemdharau.

Yule jamaa anataka kuonesha jeuri ya pesa, kuna mambo kama mtu mwenye akili timamu unapaswa kutambua, heshimu askari maana wao ndio walinzi tuliowapa dhamana ya kutulinda, hata rais na viongozi wengine tunalazimika kuwaheshimu maana wana dhamana, umaarufu na utajiri wetu sio jambo la msingi sana linapokuja suala la ulinzi na usalama, ndio maana tunahitaji kuilinda amani tuliyonayo kwa nguvu zote maana hiyo amani ikipotea hata pesa zako hazina thamani tena, utatumia wapi?
Tuheshimu serikali, tuheshimu askari suala la mapungufu kila mtu analo hata wewe lazima una mapungufu yako.

Cha kujua ni kwamba askari hapendwi kirahisi kama wengi wenu mnavyodhani
Polisi pia anatakiwa kuheshimu raia, mali zao na kuzingatia sheria wakati wa majukumu yao. Hapo hapakuwa na sababu yoyote iliyomlazimisha kupiga risasi hewani, ni matumizi mabaya ya silaha, upotevu wa risasi na pia ni ishara ya udhaifu na uoga kwa mapolisi wetu. Nahisi ndio maana wakikumbana na maadui wenye silaha huwa wanadhurika kirahisi.
 
Kama kuna jambo baya duniani kwa kiumbe chochote kile chenye uhai, basi ni dharau.
Nimejaribu kufuatilia issue ya Malima kwa ukaribu...
Ukweli ni kwamba, kuna chembe chembe za kupimana ribs na kuoneshana dharau kati ya raia, waziri, mwanae na waziri dhidi ya Polisi...
Hata kama wewe una haki, kuna namna ya kuzungumza, the issue was already viral.... kumbuka issue ya kumuita "Mwizi alie kwenye gari"
Then Malima anaingilia katikati ya maongezi kati ya polisi na mtuhumiwa (Mwanae)

Mwananchi anadakia polisi akijibizana na Malima "Huna mamlaka wewe, huna mamlaka huyu waziri huyu, ana ulinzi"
Then Polisi anafyatua risasi hewani, Malima anasema " Kiongozi wa msafara wenu yuko wapi " aje hapa....

Hivi wananchi wanadhani hilo walilobeba polisi ni toy au?

Perception ya Dharau inaaniza kwa kijana, kisha baba anaingilia' yet, polisi anaonekana kama third class tu wakati wa mazungumzo, na wananchi wanashadadia....

Nakumbuka kimbembe cha waziri aliewahi ingia kwenye ATM posta bila kupita kwenye foleni....

Viongozi wetu tunawapenda, sheria mmetunga wenyewe, zikiwarudia mnaona mnaonewa... this is hugely unacceptable.....

Yani kwa dharau za kijinga namna ile ningekuwa mimi nisingevumilia hata kidogo.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.... The policeman was provoked to the first degree....
Tatizo ni inferiority complex na bangi.Yule police alitakiwa kua professional na sio kupanic vile
 
hapa mtu asipowajibika nitashindwa kuelewa. Hata kama kuna namna ya kutoelewana lakni huwezi kufyetua risasi namna hio.
 
Tukichukulia undani wa tukio..huyo askari anatakiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu hata kama kulikuwa na mhalifu pale bado hakustahili kufyatua risasi angani kwa kuwa hapakuwapo mtu aliyefanya fujo wala aliyetishia amani wala mwenye silaha ya wazi eneo lile!!...THAT WAS AN ACT OF EXCESSIVE USE OF FORCE!
Askari muoga huyo anakimbilia kufyatua risasi ovyo akidhani ataogopwa
 
Hopeless comments!!

Pole sana.Siku ukija kujua Polisi ni washenzi utarudi Kwenye comment yangu. Bila kuheshimu binadamu mwenzako usitegemee utaheshimiwa.

My point might be hopeless lakini imebeba dhana nzima ya heshima ni kuheshimiana.
 
Unaona hii me nimeapa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Acha ushilawadu, unajua wasiokuwa na vyeti wewe!?

Ao hao, polisi tukio likitokea mnawalilia waje kuwasaidia ila wakiwa kazini katika majukumu yao mengine ya kila siku; mnajitoa ufahamu na kuwadharau!

Naona, wawaache mtobolewe na vibaka huko mitaani kwanza ndiyo mtatambua umuhimu wa hao polisi .
Huyo ni polisi au kibaka?
 
Aiseeeh,

Kwa hiyo, aliepaki gari barabarani yeye huoni kosa lake au kwa vile ni Gari la Kigogo!?
Mkuu hujakutana na usumbufu wa hao jamaa wanaojiita majembe ndio maana,mie nilishawahi kusumbuana nao kwa kisa kama hicho,nilikua nimesimama kando ya barabara ili niongee na simu ghafla wakani-block kana kwamba ni jambazi nikavutana nao sana nikawagomea kwenda kwenye yard yao nikaongoza mpaka police Kilwa road tukamalizania huo
 
Back
Top Bottom