mwenyewe ndio mimi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 347
- 212
Anhaa jina lako linasadifu unachokiandika mkuu .basi sawaWametibiwa na madaktari ndio ninavyofahamu mimi. Wakati wanapita ajali Mungu alikuwa wapi?
SanaIla Sadia ni mcute! nimefurahi kuona smile like...si kama walivyoondoka ile siku! Mungu ni mwema.
Vifo, septicaemia...Hawa waatoto wangekua Mt meru hosp tangu wakati ule sijui nini kingewatokea kama sio vilema wa maisha
Hakuna sare ya JWTZ inayofanana hivyomsemaji wa jeiwii lazima atatoa povu hapa....ni wakati wa yeye kuuza sura kwenye tv....suala sijui kavalia marekani sijui wapi...hilo hatalizingatia,la muhimu ni kutoa onyo kali.
masanja kama vp asirudi bongo na hili vazi....wanaweza wakamvizia hata airport wakampiga sachi halafu wakamkuta nalo....wakapata pa kuanzia.
Nilitaka kuuliza ivoivoSi walikuwa watatu?? Yule mwingine yukwapi??
Kuna kiongozi mmoja mteule wa mkoa wa kaskazini akiwaona hao watoto wanatabasamu wakiwa Marekani anaumia sana. Maana ilikuwa ni kitega uchumi chake endapo wangeendelea kuwa Mt. Meru. Kama alivyofaidika kwa wale wenzao waliotangulia mbele ya haki.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naomba swala ada kwa huyu mtoto,liwe jukumu langu.
Hakika sitadai malipo.