Masanja akutana na Majeruhi wa Lucky Vicent nchini Marekani

Ila Sadia ni mcute! nimefurahi kuona smile like...si kama walivyoondoka ile siku! Mungu ni mwema.
 
Hakuna sare ya JWTZ inayofanana hivyo

Delta Force
 
Kuna kiongozi mmoja mteule wa mkoa wa kaskazini akiwaona hao watoto wanatabasamu wakiwa Marekani anaumia sana. Maana ilikuwa ni kitega uchumi chake endapo wangeendelea kuwa Mt. Meru. Kama alivyofaidika kwa wale wenzao waliotangulia mbele ya haki.

Unamzungumzia mkuu wa mkoa wa Arusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…