Masanja amshukia mchungaji Msigwa wa CHADEMA kama tai, asema hata Cedrick aliwahi kujoke vita ya Iraq mbele ya Rais Bush

Wabongo mna tabu sana. Sasa watu kama unawa-follow wa kazi gani? Namna pekee ya ku-deal na wachumia tumbo kama hawa ni kutowapa attention ya aina yoyote.
Kipindi najiunga twitters kitamb kidogo nilimfollow niwe nilikua na uhitaji wa different contents.

Baadae mwamba nikamuweka sawa akanilamba block
 
Masanja ni zuzumagic
 
Wewe na huyo Masanja wote akili zenu ni sawa.

Yaani Masanja naye anaweza akatengeneza habari ya kuletwa hapa jf eti amemshukia mh Msigwa?
 
askofu majalala mwamakula hawezi kuwasuruhisha Yule,labda tumuombe askof gwaji
 
Masanja alipungukiwa na busara anajua impact ya vita kweli? Wakati mwingine ni heri akanyamaza tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…