kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 539
- 637
Una uhakika gani?? Mkuu Na amesema akimkuta anapiga game Na mtu anampima kwanza anamudu ama laaKatibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika gani?? Mkuu Na amesema akimkuta anapiga game Na mtu anampima kwanza anamudu ama laaKatibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
Exactly mkuuKajitahidi kuzuga ila ndani yake motooo unawakaaa... Kusema kuwa hata angekuta mkewe anatiwaa hapo anaangalia kama anammudu anaemtia au hammudu kama anammudu anadili nae kama hammudu anamchukua mkewe wanasepa ni kufake upendo kwa hali ya juuu na inaonesha amedili na katibu maana anammudu.
Kitu gani kibaya zaidi umehitimisha?Mimi kwa video hii NIMEHITIMISHA kitu kibaya zaidi ya mke kuwa mchepukaji
Which ni scary zaidi.
Enewei
Ushahidi upi huo? Tupeane connection.Upo ushahid
Kumbe mama mchungaji ni mama kijacho!Kumbukeni mwanamke ni mjamzito
Nilimsikia juzi akisema kuwa akitoka katika kipindi angekwenda kanisani.Huwa anahubiri saa ngapi maana jumapili hiyohiyo ana kipindi wasafi tv.
Ni nini hicho?Kuna kitu tunachelewa kekundu keusi.
Haki vile
Angela...?Angela's kimya tu,
Ni mambo gani kumbe? Twende hata kwa codes Mkuu.Hili suala zima halihusiani kabisa na mambo ya mapenzi. Dunia ina mambo hii..
Unaujua mtandao anaoufanyia kazi huyo pastor feki na biashara yao wanayoifanya? Je wajua ni kwanini kaanzisha hilo kanisa la mchongo?Ni mambo gani kumbe? Twende hata kwa codes Mkuu.
R u serious mkuu?[emoji849][emoji849]Njoo Telegram tukupe connection akiliwa mt@o
Nyie hivi kweli?Kufil***a kote kule mkewe na marehemu na mavideo yapo muda huu naangalia Ila bado jamaa kakaza shingo na video ni kweli sio edit
Masanj kiboko
Angebaki aendeleze uzao wake, wawili hawatoshi.Katibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
Sijui chochote Mkuu. PM kama hautajali.Unaujua mtandao anaoufanyia kazi huyo pastor feki na biashara yao wanayoifanya? Je wajua ni kwanini kaanzisha hilo kanisa la mchongo?
Sawa, ngoja tukasali huko, unasikiliza mahubiri huku una enjoy comedi.Nilimsikia juzi akisema kuwa akitoka katika kipindi angekwenda kanisani.
Mie nimemkubali mwanamama kwa alivyokoroga limbwata ya kupiga na shoka! 😁😁😁Huyu mwamba nimemkubali🤣🤣
😅😅😅😅 wote wametisha kwa kweliMie nimemkubali mwanamama kwa alivyokoroga limbwata ya kupiga na shoka! 😁😁😁