Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Exactly mkuu
 
Kibongobongo wake za watu wanagongwa sana, na hao mume zao nao ni walevi na wazinzi mpaka mimi nashangaa hivi hizi ndoa zenu mlilaziishwa!
 
Jana kapost wanakunywa wine na mkewe kwny bday ya monica
 
Akina dada mnatakiwa mufike kwa wingi kumuona mke wa masanja awajuze alikoipata limbwata alomlisha mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…