Katibu Mkuu Hazina ni individual responsibility. Ndani ya bodi kuna collective responsibility.
..sijaielewa vizuri hii dhana ya individual vs collective resposibility ktk muktadha wa bodi kama ya Tra.
..kwa mfano, Raisi akivunja bodi ya Tra ambayo ina Katibu Mkuu wa Hazina, akiteua bodi nyingine Katibu Mkuu Hazina aliyefukuzwa ktk bodi ya zamani anakuwepo ktk bodi mpya.
..bado naona maluweluwe.🤣