Masanja Mkandamizaji amzidi Utajiri Diamond Platnumz

Injili inalipa bana, muhimu uwe na maneno matamu, kama ni kuponya ni imani zao waumini wenyewe Pastor anaPLAY role kama dalali tu... Kuna mmoja huku kwetu yeye kila wiki anatamka neno, mfano anasema "hii ni wiki ya kupokea baraka" kinachofuatia hapo ni waumini kuchangishwa pesa anazoziita " sadaka ya (kujiconnect) kujiunga na neno hilo" ........ Zishukuriwe hizi teknolojia za M fedha, Pigo hela, Eatell mane.......alafu tax free, yeye anakusanya tu....Mungu ampe nini....anatembelea E voque, jumba la kifahari, Watoto wanakwea pipa kama daladala.... So unayefikiri injili hailipi, tulizana ufikirie upya..... Na wana akili kweli, hutosikia wameenda vijijini, wote wamebanana mijini as if kule vijijini hawana UHITAJI.
 

kweli kabsaa mdau,vijijini hawataki,dah! kweli injili imevamia.
 
kwangu kila ukija ibadani unapata 5000
Kuna mmoja alikuwa anagawa pombe za kienyeji, mbona kanisa lilikuwa linajaa!
Kuwa wajapani nao walianzisha lao, kila anayebatizwa alilipwa elfu 12, watu walijaa haswa ila jamaa cjui waliishia wapi. Kuwekeza ni akili tu.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Nenda kaanzishe kanisa huko Chankabwimba, Sitimbi, Mdaula, Nyanzige uone kama kwa Jumapili hukusanyi Tsh 135 na utashangaa hiyo sh. 5 imetoka wapi wakati cku hizi hazipatikani.
Mjini mipango, ukipata matajiri kama 10 kanisani kwako utasahau hata kuomba kazi serikalini au kwa sekta binafsi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Dah! Watu mnajua kuwaumbua!!!
Ukweli unauma, ni kweli Ulaya wageni wanatozwa kodi kubwa, nimewahi ona hata wacheza mpira Spain wanagomea kodi kubwa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

na mipango pia
 
Ahhhhha inabidi nianze injili naona mambo s mabaya naweza kua bilionea ahahha

Tena ukivua hiyo hijabu ukasema umeokoka dah!
Ila jipange haswaa

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…