Masanja Mkandamizaji aonesha mjengo wa Kanisa lake la Feel Free Church kwa mara ya kwanza

Masanja Mkandamizaji aonesha mjengo wa Kanisa lake la Feel Free Church kwa mara ya kwanza

Ila Mwingira ni WA ukweli kaka,True Prophet
Usalama wa Taifa Tanzania umelala ,wanatakiwa wafanye investigation wangegundua utapeli mwingi sana

Matokeo yake wapo bize na Upinzani

Mfano Kiboko ya wachawi,bila kujichanganya yeye mwenyewe angeendelea kuibia watu Hadi sasa

Sasa Sampuli ya kina Kiboko ya wachawi ni wengi sana ,mwamposa,masanja,Bushiri,mwingira,kuhani Musa, n.k
 
Msanii, mtangazaji, na mtumishi wa Mungu, Emmanuel "Masanja Mkandamizaji" Mgaya, leo Disemba 25, ameonesha kwa mara ya kwanza maendeleo ya ujenzi wa kanisa lake jipya, Feel Free Church.
View attachment 3184878
Kanisa la Feel Free Church linajengwa maeneo ya Uwanja wa Barafu, Mburahati, jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuwa kitovu cha ibada na huduma za kiroho kwa jamii.
View attachment 3184876
... sijui kwanini, lakini kama nikiamua 'kuokoka' basi ni Masanja au Gwajima! ... they're simply my type regardless all the lies!
🤣
 
Msanii, mtangazaji, na mtumishi wa Mungu, Emmanuel "Masanja Mkandamizaji" Mgaya, leo Disemba 25, ameonesha kwa mara ya kwanza maendeleo ya ujenzi wa kanisa lake jipya, Feel Free Church.
View attachment 3184878
Kanisa la Feel Free Church linajengwa maeneo ya Uwanja wa Barafu, Mburahati, jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuwa kitovu cha ibada na huduma za kiroho kwa jamii.
View attachment 3184876
Utumwa wa kiakili. Heri angeanzisha hospitali au shule ikasaidia watanzania wote badala ya huu utapeli wa kuuza neno la Mungu.
 
Msanii, mtangazaji, na mtumishi wa Mungu, Emmanuel "Masanja Mkandamizaji" Mgaya, leo Disemba 25, ameonesha kwa mara ya kwanza maendeleo ya ujenzi wa kanisa lake jipya, Feel Free Church.
View attachment 3184878
Kanisa la Feel Free Church linajengwa maeneo ya Uwanja wa Barafu, Mburahati, jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuwa kitovu cha ibada na huduma za kiroho kwa jamii.
View attachment 3184876
Acheni unafiki.Angejenga Casino hapo mngempigia makofi.Wabongo hamueleweki mnataka nini?
 
Back
Top Bottom