Masanja Mkandamizaji: Msinifananishe na Mchungaji wenu

Masanja Mkandamizaji: Msinifananishe na Mchungaji wenu

Daima nitamchukulia Masanja Mkandamizaji kama mchekeshaji!Badala ya Mchungaji. Na kiukweli enzi zake akiwa Orijino comedy alikuwa akinikosha sana pale alipoigiza kama Mgosi!

Huku akivaa suruali ya kubana na kuichomekea skwenye zile soksi zake ndefu! Na lile wig lake kichwani! Halafu anauza karanga na goma!!!
 
Amesema “Msinifananishe na mtumishi wenu bali mwambieni mtumishi wenu afanane na mimi kwa sabanu yeye ni mtumishi wa kisasa zaidi.”

Ameeleza hayo Jijini Dar es Salaam wakati anaongea na waandishi kuhusu kampeni za kudumisha Uzalendo kwa Watanzania ili kuyasifia na kuyatangaza mambo mazuri ya taifa la Tanzania.
Huyu kafyatuka akili, asipokaa sawa na kujitafakari, ataacha historia mbaya, asije akadhani injili ni karata tatu
 
Back
Top Bottom