Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Ngome imevunjwa...vumbi la Kisangani na chipsi mayai....Unamaanisha nini mkuu, ongezea kanyama japo kidogo.
Batu hatareee sana....Kazi sio kubeba magunia ...show show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngome imevunjwa...vumbi la Kisangani na chipsi mayai....Unamaanisha nini mkuu, ongezea kanyama japo kidogo.
Kwa show kali....Eeeh yule mchungaji wa dili mke wake kaliwa??
😂😂😅😅😆😆😁😁😄😄😄😃😃😀😆😆😁😁Nasikia mkewe kaliwa kiboga na muumini. By Kigogo
Kwakuwa yeye yuko hivi 👇
Masanja Mkandamizaji ameulizwa anahisi kwa nini watu wengi hawamuelewi kwa namna yake ya mahubiri amesema kuwa sababu kubwa ni kuwa kuna watu wengi wanatamani awe kama Mtumishi wao yaani afanane nao mpaka mavazi.
Amesema “Msinifananishe na mtumishi wenu bali mwambieni mtumishi wenu afanane na mimi kwa sabanu yeye ni mtumishi wa kisasa zaidi.”
Ameeleza hayo Jijini Dar es Salaam wakati anaongea na waandishi kuhusu kampeni za kudumisha Uzalendo kwa Watanzania ili kuyasifia na kuyatangaza mambo mazuri ya taifa la Tanzania.
Mbali na hilo kampeni hii inahusu kuhamasisha zoezi la Sensa ya watu na makazi ambayo itafanyika tarehe 23-8-2022.
Chanzo: Bongo5
NomaKanisani kwake inasemekana mtumishi mmoja kwa jina la Mc Joooo kajiua kida penzi la mama mchungaji na kaacha ujumbe
Tobaaaaaaa[emoji2962][emoji2962][emoji87][emoji87][emoji15][emoji15]