kwahiyo hizo suti zilivaliwa na kina petro na SauliHuyo ni mjini tu kama wahuni wengine hakuna injili ya kizamani na ya kisasa Neno la Mungu halijawahi kubadilika.
Mwaga ubuyuKimeumana
Kimeumana
Anatoa mapepo
Huyu kafyatuka akili, asipokaa sawa na kujitafakari, ataacha historia mbaya, asije akadhani injili ni karata tatuAmesema “Msinifananishe na mtumishi wenu bali mwambieni mtumishi wenu afanane na mimi kwa sabanu yeye ni mtumishi wa kisasa zaidi.”
Ameeleza hayo Jijini Dar es Salaam wakati anaongea na waandishi kuhusu kampeni za kudumisha Uzalendo kwa Watanzania ili kuyasifia na kuyatangaza mambo mazuri ya taifa la Tanzania.
Maliza basiKimeumana
Ukienda nchini Rwanda kagame hawataki wahuni kama huyu amefungia makanisa feki kama 6000 hiviAnajiita " Askofu" ? Ametunukiwa na nani, taratibu za kupatikana kwa askafu anajua,? Au ukienda bible school hapo Arusha basi unajiita askofu?
JamaniKanisani kwake inasemekana mtumishi mmoja kwa jina la Mc Joooo kajiua kida penzi la mama mchungaji na kaacha ujumbe
Unamaanisha nini mkuu, ongezea kanyama japo kidogo.Msukuma wake aligawa kwa katibu na katibu kapagawa hadi kajiua
" Haya maneno walisema wazee wa zamaaniii ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani,masikini roho yangu mimi roho yangu mimi"
Kuna muda mtu anafanya kanisa lionekane halina maana.