Masanja mkandamizaji na albam yake ya Hakuna jipya

Masanja mkandamizaji na albam yake ya Hakuna jipya

Kimweli

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
899
Reaction score
231
Kwa kweli hawa wanakwaye na watumbuizaji wanajiharibia wenyewe. Kwa mtu yeyote aliyebahatika kununua VCD ya huyu jamaa ni mategemeo yangu haukujifunza ukitoa wimbo mmoja tu uliobeba jina jingine na zile nane zinazobakia zinaonyesha ni jinsi gani masabuli yametumika kufikiria. Jana nilinunua hiyo VCD orginal(Inauzwa sh 5000) ili nienjoy weekend hii, nilichokikuta sasa ndo hayo manyimbo ya mapambio ya live kanisani. Masanja umeniangusha sana na simshauli mtu anunue hiyo VCD kwa sababu inaonyesha jinsi gani haujatumia kipaji chako.
 
Inapatikana wapi ili nikainunue.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Mi nafikiri badala ya kuwaponda na kuwakatisha tamaa wasanii wetu, ingekuwa heri zaidi kama tungewashauri kwa kuwaonyesha wapi wamekosea na namna ya kuboresha hizo kazi zao waweze kupata chochote kitu, kuhudumia familia zao na at the same time kutuburudisha kwa vipaji vyao! Ni mtazamo tu .....
 
Back
Top Bottom