Ushauri una mpa nani nawe unajulikana kuwa unakazwa na Mondi???Chuki iko wapi hapo? Mie nimetoa ushauri kama haumfai ataachana nao. Ana overdo things
Kitenge ni brand kubwa kwenye hizo ishu za uvhambuzi wa magazeti.Yaani kazi aweze Kitenge Masanja imshinde? wapayukaji Kitenge na Zembwela wana talent gani ya kumzidi Masanja?
afu pia kuna mwingine anajiita Nikki wa Pili na yeye mbususu ya mkewe ililiwa na wahuniπ , walipiga collabo mpaka ikafuka moshi
Tunajua bado mgeni kwenye kazi hivyo unatafuta kwa nguvu nyingi kuonekana umeziba pengo la waliokimbia EFM.
Nakushauri relax usitumie nguvu nyingi maana umekuwa kama unafanya vurugu.
Swaga zako za mwanawane sijui kukandamiza simeshakifu watu ulishindwa kuzirejesha na ze comedy yenu haitakuwa rahisi kuzirudisha kwenye radio.
Nakushauri jitafute taratibu hatimaye utaeleweka. Unataka kushindana na watu wenye talent kubwa ya hayo mambo inahitaji muda Mchungaji.
ππππwewe upinde kale buku 7 pale wasafi kwa bosi wako sasa
Acheni chuki na umasikini wa akili, huu ujinga wa kizamani sana he is making money and you are collapsing with stupidity.
Kitenge ni mpiga kelele. Ni mtu asiyejielewa ndiye anaweza kuona anajua kazi yake vilivyo.Kitenge ni brand kubwa kwenye hizo ishu za uvhambuzi wa magazeti.
Masanja hawezi shindwa anachotakiwa ni kutulia na kufanya bila panic, kwa sasa anatumia nguvu nyingi bila sababu yoyote ya msingi.
@Countrywide unaitwa hukuNdo huyo huyo, afu pia kuna mwingine anajiita Nikki wa Pili na yeye mbususu ya mkewe ililiwa na wahuni[emoji28], walipiga collabo mpaka ikafuka moshi
πUshauri unaostahili kulipiwa huu