Mjinga sana, maneno yanafaa kutamkwa na Dr. Mengi, Bkharessa na & Gwajima, profesa tibaijuka(BIBI wa pesa ya mboga), chenge,(babu wa vijisenti) na mzee wa msoga na watu wa kaliba hiyo....
Sio yeye. Masanja hana hela ya kununua BMW kama anavyonunua baskeli.
Gari zina charge nyingi sana. Baskeli na gari tofauti sana katika ununuzi, kuanzia kutoa hela benki nk na ikipata ajali anaweza kukesha miaka kuikarabati.
. You never know..Hope alikua anachekesha watu, manake ndo kazi ya ze komedian kama yeye.
Maskini akipata mata** ulia mbwata.