Unless alikua analima for funny kama ni kibiashara naamini kabisa Masanja ana mtaji wa kutosha kabisa kulima 100+ acres by the way sijambeza
nami nakereka sana ,sijui watoto wa kiume anawafundisha nini!sanaa zingine ni ujinga tuHivi JOTI dini yake ni ipi maana anakoelekea siko, mimi binafsi sitamani hata kumwangalia kwenye kipindi chao, hasa anapoanza mambo yake ya makavu laivu
mpunga sio mahindi we mburula,unajua shughuli ya mpunga au unaongea tu.
Vipi makavu yamekuingia?Hivi JOTI dini yake ni ipi maana anakoelekea siko, mimi binafsi sitamani hata kumwangalia kwenye kipindi chao, hasa anapoanza mambo yake ya makavu laivu
Hongera kwa kuvuna tugawie na siye kidogo ubweche
Kwa level yake alitakiwa kulima 100 + acres
Kwa level yake alitakiwa kulima 100 + acres
Masanja mjanja sana kasoma mchezo kaona biashara ya Injili inalipa, katumia umaarufu wake wa zamani kama mchekeshaji, sasa anataka kuwa mchungaji avune pesa za wadanganyika..
Soon tutasikia watu wakikimbizana kwenda kwenye kanisa la Masanja..
Silly comment! Hujui chochote kuhusu KIKIMO wewe, you better watch out how you think.
vipi mkuu, umekua mke wake hadi ujue alitakiwa alime ngapi?? komaa kivyako ulime hata kama ni robo eka kuliko kujaji wenzako bila basis yoyote... Kila mtu ana priority zake kwenye maisha na hujui si ajabu aliamua kujaribu tu kwanza
Tuache kuwekeana negativity when it comes to maendeleo, tutaishia kwenye keyboards wakati kitaa kinatulamba za uso
Halafu baadhi ya wapuuzi waje kumwita masonic!Kijana masanja mkandamizaji as known as Pastor to be akijituma uko ubaruku, inasemekana anazalisha 200 bags per year kwenye hii investment tu, sa soon tu huyu si mwingine kabsa, huu ni model kwa vijana wote wanaopenda mabadiliko so keep stepping forward man!!!
Wewe unategemea kuja kuifanyia nini jamii???
at least sitafuti sifa za kijinga