Bila wewe angefikaje Belgium? Jibu hilo swali kwanza acha Siasa acha kujimwambafymkuu acha kusingizia watu usio wajua wala kuwafahamu. na pia acha kutuhumu watu. Kama siasa huziwezi acha. unafanya siasa za kipindi cha ukoloni lazima uumie.
Kiuhalisia masanja huwa ni mshamba fulani na pengine hakuwa akijua mapungufu yake na hakuwahi kukosolewa lakini kupitia jukwaa hili analo la kujifunza vizuriAnajipendekeza kwa mshamba mwenzake.
Masanja anasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetaniWalasio msukuma huyu, nadhani ni mnyalu mana anaitwa Emmanuel Mgaya
Akiwa mzee mwenye miaka 26 hiviMasanja aliingia lini mjini?
Masanja ana degree ya sanaa na Masters ya Teolojia bwashee!
Tayari pemba wameingiza jina la mgaya masanja kwenye list ya miccm itakayosomewa Albadiri kubwa kupinga manyanyaso ya CCMTUNAZIDI KUONGEZA LIST YA TUNAOWASOMEA ALBADR WALA MSIWE NA HOFU
Mkuu Wala usjari ni swala la muda TU watasema tu walipo ficha bangiTayari pemba wameingiza jina la mgaya masanja kwenye list ya miccm itakayosomewa Albadiri kubwa kupinga manyanyaso ya CCM
Masanja ni darasa la nne kisha akaenda kusoma kakingereza British council tu, apate kuongea lugha ya Mkoloni kuombea viza tu hana Taaluma kichwani ni mweupe mnoHapo ndio umemsifia au umefanya hiyo elimu idharaulike tu?
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?Sijaona Kosa lolote Masanja kusema hivyo / hayo sana sana naona tu 'Chuki' zako kwa Mshindi Rais Magufuli na chama chake bora hadi Mbinguni.
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka Ubaruku?
Kinamsaidia utakatishaji WA fedhaMasanja Mkandamizaji ndo msanii aliyefanya kampeni kubwa , hasa akijikita kwenye kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya tano kupitia sanaa. Anakipenda Sana chama na nchi.
Mbn huwa anaongea mambo km mbumbumbu hv.Masanja ana degree ya sanaa na Masters ya Teolojia bwashee!
Nimeeleza wasifu wake bwashee!Hapo ndio umemsifia au umefanya hiyo elimu idharaulike tu?
Hata wewe ukiona target, endelea kwa wakati wako. Tusigusane Wakati wa kula mafao ndo Sasa.Kinamsaidia utakatishaji WA fedha