sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi mkuu unaijua njaa au unacheza?
Shauri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi mkuu unaijua njaa au unacheza?
Shauri yako
@sawima kazi yako kunicheka tuu[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa anapeleka Mdogo Mdogo USAMasanja ni punda anatafuta kulindwa na dola ili asikamatwe! Weledi wanajua maana ya punda!
Unanivunja mbavu ujue[emoji3][emoji3][emoji3]@sawima kazi yako kunicheka tuu[emoji16][emoji16]
Kwani mimi ndo ndege, au sijakuelewa swali lako vizuri. Kwani Belgium si alikwenda kwa ndege auBila wewe angefikaje Belgium? Jibu hilo swali kwanza acha Siasa acha kujimwambafy
Kwanza ni mzinzi kumpita hata Gwajima anawatafuna kondoo kama hana Akili nzurihuyo mchungaji feki sijawahi kumuamini .
pesa kidogo zememuaribu ubongo.
Baada ya wewe kumjeruhiKwani mimi ndo ndege, au sijakuelewa swali lako vizuri. Kwani Belgium si alikwenda kwa ndege au
Kwani ulaya kuna nini, na usipokwenda unapungukiwa nini, na huyo mwakilishi wa ulaya akisikia yeye inamsaidia niniHata kwa kusema tu jpm ndiye rais pekee ambaye hajaemda ulaya miaka 5 alikosea, aliitoa hii kauli ktk hali ya majivuno...unapoongea mambo kama haya na una wawakilishi wa marais kutoka ulaya ni upuuzi
wanyakyusa na wasukuma hawachekani kwa ushamba..
Wewe lazima utakuwa ni le mutuz tu maana ndiyo hupenda kakingereza ka ugokoMASANJA big up
Mmechanganyikiwa baada ya sunduku la kura kuwaumbua sasa mmeanza kutafutiza vikesi na kwatu msiowajua ili mpate vipesa vya kusukuma chamaBaada ya wewe kumjeruhi
Alafu umejificha hauna hata amani mkuu, hii nchi ni yako kuwa na amaniKwanza ni mzinzi kumpita hata Gwajima anawatafuna kondoo kama hana Akili nzuri
Ulaya vyombo vya habari husema mapungufu ya mtu kwa uwazi ana usipokwenda ulaya utapungukiwa kutojua madhaifu yako binafsi kwani Afrika huogopa kukwambia ukweli kuepuka kubambikiwa kesi kesiKwani ulaya kuna nini, na usipokwenda unapungukiwa nini, na huyo mwakilishi wa ulaya akisikia yeye inamsaidia nini
Acha kujimwambafy watu usiowajua ni kujimwambafy huko kusiko na tija yeyote, sanduku lipi la kura? Uchaguzi upi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniMmechanganyikiwa baada ya sunduku la kura kuwaumbua sasa mmeanza kutafutiza vikesi na kwatu msiowajua ili mpate vipesa vya kusukuma chama
Wee jamaa unachekesha kweli, kwa hivyo ulaya ndo viongozi wa watu wote hapa duniani. Sasa tunataka wao ndo waje huku kwetu.Ulaya vyombo vya habari husema mapungufu ya mtu kwa uwazi ana usipokwenda ulaya utapungukiwa kutojua madhaifu yako binafsi kwani Afrika huogopa kukwambia ukweli kuepuka kubambikiwa kesi kesi
Tanzania hakuna Amani kuna uvumilivu tu, Tanzania ni kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani, hamuwezi kuwa mnawabambikia kesi kesi watu uonevu usiokwisha alafu mseme kuna Amani.Alafu umejificha hauna hata amani mkuu, hii nchi ni yako kuwa na amani