Masanja Umechemsha bro!!

Masanja Umechemsha bro!!

Mlisema Lissu chaguo la Mungu? Huyo mungu wenu muongo mbona chaguo lake limepigwa chini? Shetani Sasa ameshajulikana maana mlisema shetani hawezi kumshinda Mungu, Sasa chaguo la shetani chali.
 
masanja yupo sahihi, tena niongezee ndo mtu mwenye imani na Mungu kuliko wote Tanzania. Na hilo limedhilishwa kipindi kile cha Corona. Kumwamini Mungu ni kumtangaza Mungu mbele ya uma kuwa Mungu anaokoa tumwombeni. Ndo mtu pekee duniani aliyesema tusifunge makanisa tumwombe Mungu. Hivyo ni kweli Magufuli one hundred percent anamwamini Mungu
Anamwamini Mungu kwa maneno yake au pamoja na matendo yake?
 
Alisikika mgombea mmoja kule Moshi kwenye kura za maoni CCM anawambia wajumbe kufunika mlima Kilimanjaro na pazia mwisho akawaomba wajumbe wacheke kwa pamoja hahahahaaaaaaaaaaaa,
 
Back
Top Bottom