Masanja Umechemsha bro!!

Masanja Umechemsha bro!!

Sidhani. Weka. Uthibitisho hapa. Lakini pia sishangai sana maana kujipendekeza ni talent nayo. Anaweza kuwa na PHD kabisa ila akakosa akili. Kila jambo lina kipimo chake. Mabeberu wanasema too much is harmful.



Masanja ana degree ya sanaa na Masters ya Teolojia bwashee!
 
Masanja yupo sahihi, tena niongezee ndo mtu mwenye Imani na Mungu kuliko wote Tanzania. Na hilo limedhilishwa kipindi kile cha Corona. Kumwamini Mungu ni kumtangaza Mungu mbele ya Umma kuwa Mungu anaokoa tumwombeni. Ndo mtu pekee duniani aliyesema tusifunge makanisa tumwombe Mungu. Hivyo ni kweli Magufuli one hundred percent anamwamini Mungu
Uzuri kwenye hii dunia ya watanzania hata uwe against vipi huwezi kosa mataira wenzako wa kukuunga mkono. [emoji849]
 
Mlisema Lissu chaguo la Mungu? Huyo mungu wenu muongo mbona chaguo lake limepigwa chini? Shetani Sasa ameshajulikana maana mlisema shetani hawezi kumshinda Mungu, Sasa chaguo la shetani chali.
We kadhi wa wapi au ndo wa threesome
 
Masanja alipendwa zamani lakini sasa ni janga la Kitaifa kwa kuendekeza njaa mbele akajivua utu na kuwa shabiki mandazi wa matendo haramu ya kishetani
 
Kwa style aliyotumia kusherehesha...automatically alikuwa anajipepelea uteuzi.

Masanja kaharibu kama alivyovurunda Adamu Mchomvu kwenye uzinduzi wa kampeni.
Tayari masanja yupo kwenye list ya watu watasomewa Albadiri tokea pemba na Zanzibar kwa kusujudia unyanyasaji uonevu uovu unyama wa CCM
 
Hivi Mungu anaweza kumsikiliza mtu ambaye anaunga mkono ushoga? Huyu huyu Mungu aliye unguza sodoma na gomora
Kwan mkataba wa haki za binadamu wa 2017 ulisainiwa na lissu??? Mkataba huo Alie Usain ni huyo huyo na ndio unaohusisha ushoga kwahyo alikubaliana nao na ndio maana makonda alipo wasumbua mashoga walikanusha hadharani hawausiki na. Kangi lugola alisema mashoga wapo huru na hawana shda yotote. Au uelewi hata Dunia inaendaje? NYAU WEWE
 
Mbona nyinyi mlisema Lissu ni chaguo la Mungu kapigwa risasi 16 na hakufa, Mungu kamleta kuwa Rais wa Tanzania?
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Basi tuendelee kusifu na kuabudu...🙄🙄
 
TUNAZIDI KUONGEZA LIST YA TUNAOWASOMEA ALBADR WALA MSIWE NA HOFU
 
Sijaona Kosa lolote Masanja kusema hivyo / hayo sana sana naona tu 'Chuki' zako kwa Mshindi Rais Magufuli na chama chake bora hadi Mbinguni.
 
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Kama siyo wewe asingefika huko
mkuu acha kusingizia watu usio wajua wala kuwafahamu. na pia acha kutuhumu watu. Kama siasa huziwezi acha. unafanya siasa za kipindi cha ukoloni lazima uumie.
 
Masanja yupo sahihi, tena niongezee ndo mtu mwenye Imani na Mungu kuliko wote Tanzania. Na hilo limedhilishwa kipindi kile cha Corona. Kumwamini Mungu ni kumtangaza Mungu mbele ya Umma kuwa Mungu anaokoa tumwombeni. Ndo mtu pekee duniani aliyesema tusifunge makanisa tumwombe Mungu. Hivyo ni kweli Magufuli one hundred percent anamwamini Mungu
Watanzania walipiga nyungu kwa pamoja kwa bidii kubwa wakala malimau tangawizi kwa pamoja kwa bidii kubwa wakatumia vitamini C kwa pamoja ndiyo maana maambukizi ya corona hayakusambaa kutokana na hilo zoezi kufanyika kwa bidii kubwa pasipo kuchoka, siyo magufuli wala nani kaizuia corona acheni kumpa sifa si zake, cha kushukuru ni mwitikio wa watu kutumia hizo kinga bila kuchoka mpaka sasa wengi hunywa tangawizi.
 
Back
Top Bottom