white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,321
- 2,488
duh! mbona sijaona utapeli hapo yaani nani katapeliwa sasa?Tapeli sana huyo Masanja.. matapeli wa kutumia dini wote hufanya hivyo.. Hiyo ni kuandaa watu wachache kisha wanapewa maelekezo jinsi ya kufanya kuanguka kisha wanalipwa chao.. Hiyo yote ni kuvutia biashara ya dini anayofanya.. Hakuna cha Mungu wala nn hapo.. Ni utapeli 100% kwa 100%