Masanja wale watu aliwapiga wakaanguka au ni maombi?

duh! mbona sijaona utapeli hapo yaani nani katapeliwa sasa?
 
HAHAHAHAHA WAJINGA WANALIWA HADI NA MASANJA DAAA WATANZANIA NI SIKIO LA KUFA
 
Bwana Masanja Akiangusha Watanzania.
 
Wachungaji wadogo kama yeye hupewa upako kwa njia ya impartation... Huwa wanawekewa mikono na wachungaji wakubwa kabla ya kufanya mahubiri baada ya muda upako humtoka mhusika.
 
Mkuu umesababisha nichekee kwa sauti [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Bwana Masanja Akiangusha Watanzania.


Acha kwanza nicheke....
Haaaa haaaa haaa haaa haaa

Mkuu, nguvu za Mungu zipo ila pia na waangusha watanzania wapo wengi tu.

Tatizo ni kuitambua nguvu halisi ya Mungu na ile ya kuangusha watanzania.
Hapo ndipo ilipo changa la macho
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu seriously!??
 
The upcoming bushiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…