Hakuna mapya kwa Masau Bwire maana matokeo ya mechi ni kama vile yanajulikana, Labda hamasa zake zinalenga mashabiki waende kwa wingi uwanjani ili wanufaike kwenye mapato
(Ruvu ya Kocha Mkwasa wanajiandaa kucheza na Yanga, hata kule kusini pia Namungo ya Kocha Julio nao wanajiandaa kukutana na Simba).