Pre GE2025 Masauni: Sativa hatoi ushirikiano wa kutosha kwa Jeshi la Polisi
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu, mnamuelewa kweli Masauni?

Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja kutuambia Sativa anaongea kwenye mitandao ya kijamii! Masauni anajielewa kweli?

View attachment 3056106
Kigugumizi chote hicho ni majibu tosha... Yaani mtu amefanyiwa kwa aliyo fanyiwa na bado wanahitaji ushirikiano... shida iko wapi? hivi vyombo vyetu havina uwezo au ni danadana tu... na Yale ya Lissu ...ametoa ushirikiano au bado? mtu asipotoa ushirikiano, ni nini kinapaswa kufanyika? kuna uwezekana wa kuwalazimisha kutoa ushirkiano au ni hiari ya mtu tu? Nguvu kazi ya Taifa inaumia , kodi halipwi na mgonjwa kwa sababu ya kuumia , halafu alete ushirikiano? mbona ni kama kukwepa wajibu au ni mimi sielewi?
 
Hii inadhihilisha wahusika wa tukio ni polisi.maana hata sativa alisema walimupeleka osterbay polisi na kuanza kumpiga na kumfunga kitambaa na kuanza kumzungusha kwenye Noah nyeusi kuzunguka dar es salamu ili kumvuruga na hatimaye kumzungusha Tena mikoani na kumtelekeza katavi Kwa kumpiga risasi wakiamini wamemuua lakini Mungu anawaonyesha walivyo wauaji na kutumia Kodi zetu vibaya.kwa mauaji haya,polisi shenzi zenu kabisa na mavi yenu
 
Wakuu, mnamuelewa kweli Masauni?

Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja kutuambia Sativa anaongea kwenye mitandao ya kijamii! Masauni anajielewa kweli?

Huyu naye ni mwingine wa kutengua!

Pia soma: Sativa: Naendelea na matibabu siwezi hata kufungua mdomo, yakimalizika nitatoa ushirikiano wanaotaka

====

"Ili suala la Sativa liende haraka ni muhimu yeye mwenyewe atoe ushirikiano, ushirikiano wake bado ni mdogo katika kulisaidia jeshi la polisi kupata taarifa za yaliyomkuta

"Kitenge: Lakini alishasema alipelekwa Osyterbay, kwanini msianzie hapo?

"Wewe ndiye muhusika wa lile tukio, wewe ndio unajua kwamba umekamatwa nan ani, yukoje, baada ya kutoka hapo nikaenda wapi, kwahiyo eleza vyombo husika, usieleze kwenye mitandao ya kijamii. Mimi si ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, basi mwabie aje wizarani kwangu, aje anieleze mimi."


View attachment 3056106
Hilo ni bumunda tu
 
Hata mtoto wa darasa la tatu anakua kabisa who is behind all these shit
Nilisoma mahali kwamba mwenye madaraka aliyabatiza matukio ya aina hii kuwa ni 'Drama'!

Pengine waTanzania hawakuelewa, au hawajui maana ya hilo neno 'Drama', maana, kama wange elewa wangehoji!

Ni nani anayejuwa maana halisi ya hilo neno 'drama', atusaidie kulielewa vyema hapa.
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Kwahiyo mkuu tufanyeje tutoe rambirambi ama?
 
Nilisoma mahali kwamba mwenye madaraka aliyabatiza matukio ya aina hii kuwa ni 'Drama'!

Pengine waTanzania hawakuelewa, au hawajui maana ya hilo neno 'Drama', maana, kama wange elewa wangehoji!

Ni nani anayejuwa maana halisi ya hilo neno 'drama', atusaidie kulielewa vyema hapa.
Ok, kumbe tumekuwa serious sana kujadili igizo la Masauni na chura kiziwi.!!

So, kwa maana nyingine tunaruhusu nchi iwe ya drama mpaka kwenye uhai wetu?!
 
Huyu nae anahitaji ushirikiano gani?
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Ingekuwa ameumizwa mzanzibar mwenzake ungeona anavyofanya kazi kwa haraka na uchunguzi ungekuwa umeshakamilika na watuhumiwa wangekuwa mahakamani
Umenikumbusha FEISAL alivyoingia kwenye mfumo wa watoto wa Kariakoo. Angekua Shomari Kapombe ingekula kwake.
 
Back
Top Bottom