Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kashafikisha shauri mbele ya mahakama ya ubongo wake na hukumu imetoka kuwa alichofanya ni ujingaHivi,Abdul Nondo anaendeleaje na kuichunguza kesi yake ya kujiteka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashafikisha shauri mbele ya mahakama ya ubongo wake na hukumu imetoka kuwa alichofanya ni ujingaHivi,Abdul Nondo anaendeleaje na kuichunguza kesi yake ya kujiteka?
Kigugumizi chote hicho ni majibu tosha... Yaani mtu amefanyiwa kwa aliyo fanyiwa na bado wanahitaji ushirikiano... shida iko wapi? hivi vyombo vyetu havina uwezo au ni danadana tu... na Yale ya Lissu ...ametoa ushirikiano au bado? mtu asipotoa ushirikiano, ni nini kinapaswa kufanyika? kuna uwezekana wa kuwalazimisha kutoa ushirkiano au ni hiari ya mtu tu? Nguvu kazi ya Taifa inaumia , kodi halipwi na mgonjwa kwa sababu ya kuumia , halafu alete ushirikiano? mbona ni kama kukwepa wajibu au ni mimi sielewi?Wakuu, mnamuelewa kweli Masauni?
Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja kutuambia Sativa anaongea kwenye mitandao ya kijamii! Masauni anajielewa kweli?
View attachment 3056106
Hilo ni bumunda tuWakuu, mnamuelewa kweli Masauni?
Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja kutuambia Sativa anaongea kwenye mitandao ya kijamii! Masauni anajielewa kweli?
Huyu naye ni mwingine wa kutengua!
Pia soma: Sativa: Naendelea na matibabu siwezi hata kufungua mdomo, yakimalizika nitatoa ushirikiano wanaotaka
====
"Ili suala la Sativa liende haraka ni muhimu yeye mwenyewe atoe ushirikiano, ushirikiano wake bado ni mdogo katika kulisaidia jeshi la polisi kupata taarifa za yaliyomkuta
"Kitenge: Lakini alishasema alipelekwa Osyterbay, kwanini msianzie hapo?
"Wewe ndiye muhusika wa lile tukio, wewe ndio unajua kwamba umekamatwa nan ani, yukoje, baada ya kutoka hapo nikaenda wapi, kwahiyo eleza vyombo husika, usieleze kwenye mitandao ya kijamii. Mimi si ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, basi mwabie aje wizarani kwangu, aje anieleze mimi."
View attachment 3056106
Huyu ni Mzanzibar? Nasikia accent ya ki-ZanzibarMasauni hiyo Wizara imempwaya vibaya mno.Hata kwa kumwangalia na kumsikiliza jamani: Anatoa maelezo ya kuunga unga na kubabia babia...ni staha tu ya anaye muhoji...
Huyo usitegemee hata mara moja kutenguliwa. Huyo ndiye sasa anayeratibu mipango ya uchafuzi wa chaguzi zijazo; pamoja na yule mkwe wa wizara ya Serikali za mitaa. Hawa wawili hata ufanye uchawi gani hawaondoki walipo.Huyu naye ni mwingine wa kutengua!
Nilisoma mahali kwamba mwenye madaraka aliyabatiza matukio ya aina hii kuwa ni 'Drama'!Hata mtoto wa darasa la tatu anakua kabisa who is behind all these shit
Kwahiyo mkuu tufanyeje tutoe rambirambi ama?Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Ok, kumbe tumekuwa serious sana kujadili igizo la Masauni na chura kiziwi.!!Nilisoma mahali kwamba mwenye madaraka aliyabatiza matukio ya aina hii kuwa ni 'Drama'!
Pengine waTanzania hawakuelewa, au hawajui maana ya hilo neno 'Drama', maana, kama wange elewa wangehoji!
Ni nani anayejuwa maana halisi ya hilo neno 'drama', atusaidie kulielewa vyema hapa.
Hahaha hahahaKwahiyo mkuu tufanyeje tutoe rambirambi ama?
Hawa hapaOk, kumbe tumekuwa serious sana kujadili igizo la Masauni na chura kiziwi.!!
So, kwa maana nyingine tunaruhusu nchi iwe ya drama mpaka kwenye uhai wetu?!
Mimi si ndio Waziri wa Mambo ya Ndani, basi mwabie aje wizarani kwangu, aje anieleze mimi."
Kujieleza kama unaelezea uongo inakuwaga ngumu tu naturallyKabisa. Halafu jamaa kama kujieleza ni changamoto hivi...
Umenikumbusha FEISAL alivyoingia kwenye mfumo wa watoto wa Kariakoo. Angekua Shomari Kapombe ingekula kwake.Ingekuwa ameumizwa mzanzibar mwenzake ungeona anavyofanya kazi kwa haraka na uchunguzi ungekuwa umeshakamilika na watuhumiwa wangekuwa mahakamani