profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Sio swala la kujua.. Unapewa elimu wewe unaulizia magari gani anatengeneza..!!!Mwenzetu unatengeneza magari gani tuje tununue? Wabongo kujifanya wanajua.
Ameanza taratiiiibu kuelekea kibra huyo,keshokutwa ataona Hana pesa ataenda zake kugawa marinda maana ataona haina shida na atakupa na faida za kuyatoa marinda yake.
@LEGESiku ya leo nimekutana na jamaa kazini,alikuwa anawasimulia wenzie jinsi alivyokuwa amechacha sana,na akaamua kuchukua gari yake ya noah,na kwenda tabata dampo,wakatoa masega na akapata 335000/laki tatu na thelasini na tano faster,akasema gari yake imekuwa na nguvu na iko powa sana,,,nimegoogle na kuscreen shot maelezo,ebu pitia hapo..kama una la kuongeza karibu..View attachment 2045204View attachment 2045205View attachment 2045206View attachment 2045208View attachment 2045207View attachment 2045209
Umesema kweli kaka ,magari mengi yanapofika yanafanyiwa mod za ajabu ajabu unakuta feni ya rejeta imeugwa direct eti nchi zetu zinajoto , sesnsor za kwenye kioo mtu anaweka tinted juu yake .......watu wengi ni wapuuzi mwisho wa siku magari yakianza kusumbua wanasema ....kununua gari ni umaskiniBongo Kila kitu kwenye gari hakina umuhimu...
Kikubwa tu gari liwe linatembea hata kama gari linatembea huku linachechemea....
Siku ataweza hata mazengoHahahaha kuna mtu aliuza figo moja hela zikaisha
Siku nyingine akakuta tangazo wananunue kende akajiangalia akasema hivi haya yana kazi tena kwa sasa ? [emoji23][emoji23]