Masela tuliotoka mikoani ambao tunaishi kwa shemeji zetu Dar tukutane hapa

Masela tuliotoka mikoani ambao tunaishi kwa shemeji zetu Dar tukutane hapa

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
Wakuu,

Kupeana experience ni muhimu,

Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.

Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.

Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,

Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.

Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!

Karibuni tupeane uzoefu wakuu.
 
Huwazi kutafuta hela hata uwe unalala kwako unawaza zinaa.
Miezi kumi ungekuwa una akili ungepanga chumba chako hata ulale chini.
Haya huyo dada utazini naye hapo sebuleni au?
Sio kwa ubaya lakini
Mhuni huyo haishi kwa ndugu anatafuta umaarufu
 
Ebwanaaa nimekaa sana kwa shem wakat nipo chuo, ingawa adi sasa bado nipo ila nina gheto langu freshiii so nikijisikia nakuja kusalim maisha yanaenda
 
Duh hiii kali...sasa nikiwapa yangu mnaweza nihurumia[emoji38][emoji38]
 
Noma kweli pale shemeji yako anapotoka chumbani asubuhi na taulo tu, halafu mnyama kasimama dede. Inahitaji moyo,

Maana unajua dah, jamaa kaishampindua dada yangu huko vya kutosha *****.
 
Back
Top Bottom