Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Wakuu,
Kupeana experience ni muhimu,
Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.
Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.
Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,
Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.
Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!
Karibuni tupeane uzoefu wakuu.
Kupeana experience ni muhimu,
Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.
Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.
Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,
Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.
Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!
Karibuni tupeane uzoefu wakuu.