Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Bandika bandua kvp,halafu na we mzee miezi nane yote hyo mjini ulikuwa unafanya nn,ungeenda tu kwa dada ukalale sebuleniMaana yake ilikua bandika bandua, we boya hujui kutoa miaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandika bandua kvp,halafu na we mzee miezi nane yote hyo mjini ulikuwa unafanya nn,ungeenda tu kwa dada ukalale sebuleniMaana yake ilikua bandika bandua, we boya hujui kutoa miaka
Mtu pekee anayetakiwa kudhibitiwa ni mwenyekit wa ccm wa taifa.Uongozi wa JF ni vyema wazizuie hizi nyuzi sasa
Tunakoenda ni kubaya
Huyo tumeshamshindwaMtu pekee anayetakiwa kudhibitiwa ni mwenyekit wa ccm wa taifa.
jamaa unamatatizo.. kwahiyo DADA yako kaolewa na wewe umeolewa pia.. angalia ucje ukaombwa unyumbaKabla hujamfumua bumunda hakikisha mnapima uzito kwanza! Vinginevyo ukichomeka tu pale kwenye kale kaeneo, basi kwisha habari yako!
😅🤣🤣Wakuu,
Kupeana experience ni muhimu,
Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.
Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.
Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,
Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.
Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!
Karibuni tupeane uzoefu wakuu.