Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,738
kwan we jamaa uliondoka huku? Nimemchoma mke wa mpangaji mwenzangu kwa mumewe - JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa Daaah nimecheka sana AiseeeKabla hujamfumua bumunda hakikisha mnapima uzito kwanza! Vinginevyo ukichomeka tu pale kwenye kale kaeneo, basi kwisha habari yako!
Kuna vitu ukivichukulia serious utakua unaboreka kila sekunde....chillUongozi wa JF ni vyema wazizuie hizi nyuzi sasa
Tunakoenda ni kubaya
kwan we jamaa uliondoka huku? Nimemchoma mke wa mpangaji mwenzangu kwa mumewe - JamiiForums
Niliambiwaga wanaume wa mikoani hawana sensor za kuona mizigo, kumbe nilidanganywa.Wakuu,
Kupeana experience ni muhimu,
Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.
Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.
Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,
Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.
Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!
Karibuni tupeane uzoefu wakuu.
Jamaa anaongopaMhuni huyo haishi kwa ndugu anatafuta umaarufu
Maisha yakoje hapo..Nyuzi nzuri hizi mkuu tunapeana experience, mm pia naishi kwa shemeji yangu Mbezi Beach hapa.
Tatizo hawajui kuongopa maana wanasahau mapemaJf inaumbua sana watu. Huu ni ushahidi habari nyingi humu hasa majukwaa ya mmu na chi chat ni habari za kusadikika ingawa mtu anaweza jitutumua ionekane ya kweli. Kuna mwingine anadai ni mtz wa kwanza anaganya kazi Pentagon, ukicheki uzi zake za wiki iliyopita tu unatambua ni jamaa wa 'tandale'.
hahaha dahHuyo mwanafunzi wa chuo anasoma VETA?
Ndo maana sijawa na dada,maana ningehakikisha haolewi maana sio kwa wivu huu nilionaoNoma kweli pale shemeji yako anapotoka chumbani asubuhi na taulo tu, halafu mnyama kasimama dede. Inahitaji moyo,
Maana unajua dah, jamaa kaishampindua dada yangu huko vya kutosha *****.
From tandale to pentagon[emoji23] [emoji23]Jf inaumbua sana watu. Huu ni ushahidi habari nyingi humu hasa majukwaa ya mmu na chi chat ni habari za kusadikika ingawa mtu anaweza jitutumua ionekane ya kweli. Kuna mwingine anadai ni mtz wa kwanza anaganya kazi Pentagon, ukicheki uzi zake za wiki iliyopita tu unatambua ni jamaa wa 'tandale'.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee kama mmepishana miaka miwili maana yake ndio nini?Dada angu alipogundua nilikuwepo dar miezi 8 bila kumwambia na nikaondoka bila kwenda kwake si akanipigia simu kuni mind eti ningeenda kuwasalimu, Na ivi tumepishana miaka miwili tu nlimwambia aache useng.e
Ukweli mi hua siwezi kuchekacheka na semeji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee kama mmepishana miaka miwili maana yake ndio nini?