Masela tuliotoka mikoani ambao tunaishi kwa shemeji zetu Dar tukutane hapa

Masela tuliotoka mikoani ambao tunaishi kwa shemeji zetu Dar tukutane hapa

Hahahahahaha


Sista akiwa anapigwa mjegejo halaf analalamika kwa sauti utavuta hisia nawewe?!
 
Wakuu,

Kupeana experience ni muhimu,

Kwa wale wote tuliokuja kuishi kwa shemeji zetu tupeane uzoefu.

Kwa mfano mimi binamu yangu (mtoto wa shangazi) nd'o kaolewa Dar,
Nami nimekuja kuwatembelea huku Dar nikae angalau kwa miezi 10.

Ingawa nalala sebuleni,
Na huwa naamka mapema ili kupisha zoezi la usafi na shughuli za asubuhi,
Nitajitahidi kukomaa tu,
Maana'ke kama zali nimemkuta ndugu wa kike wa huyo mme wa binamu amba'e anasoma chuo,

Huyo binti ni mzigo wa maana,
Yaani kajazia wezere la hatare,
na ameanza kunizoea na kunichekeachekea sana.

Hivyo namlia taiming aingie kwenye 18, ili nidufue 'bumunda' kabla sijarudi mkoa!!!

Karibuni tupeane uzoefu wakuu.
Niliambiwaga wanaume wa mikoani hawana sensor za kuona mizigo, kumbe nilidanganywa.
 
Miezi kumi kwa dada ako.? Unasikia kabisa anavyofumuliwa na lijamaa. Huu utumwa mi sijajaliwa bhana
 
Jf inaumbua sana watu. Huu ni ushahidi habari nyingi humu hasa majukwaa ya mmu na chi chat ni habari za kusadikika ingawa mtu anaweza jitutumua ionekane ya kweli. Kuna mwingine anadai ni mtz wa kwanza anaganya kazi Pentagon, ukicheki uzi zake za wiki iliyopita tu unatambua ni jamaa wa 'tandale'.
 
Jf inaumbua sana watu. Huu ni ushahidi habari nyingi humu hasa majukwaa ya mmu na chi chat ni habari za kusadikika ingawa mtu anaweza jitutumua ionekane ya kweli. Kuna mwingine anadai ni mtz wa kwanza anaganya kazi Pentagon, ukicheki uzi zake za wiki iliyopita tu unatambua ni jamaa wa 'tandale'.
Tatizo hawajui kuongopa maana wanasahau mapema
 
Dada angu alipogundua nilikuwepo dar miezi 8 bila kumwambia na nikaondoka bila kwenda kwake si akanipigia simu kuni mind eti ningeenda kuwasalimu, Na ivi tumepishana miaka miwili tu nlimwambia aache useng.e

Ukweli mi hua siwezi kuchekacheka na semeji
 
Jf inaumbua sana watu. Huu ni ushahidi habari nyingi humu hasa majukwaa ya mmu na chi chat ni habari za kusadikika ingawa mtu anaweza jitutumua ionekane ya kweli. Kuna mwingine anadai ni mtz wa kwanza anaganya kazi Pentagon, ukicheki uzi zake za wiki iliyopita tu unatambua ni jamaa wa 'tandale'.
From tandale to pentagon[emoji23] [emoji23]
 
Dada angu alipogundua nilikuwepo dar miezi 8 bila kumwambia na nikaondoka bila kwenda kwake si akanipigia simu kuni mind eti ningeenda kuwasalimu, Na ivi tumepishana miaka miwili tu nlimwambia aache useng.e

Ukweli mi hua siwezi kuchekacheka na semeji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee kama mmepishana miaka miwili maana yake ndio nini?
 
Back
Top Bottom