Maselle "Chapombe" afunga ndoa!!

Maselle "Chapombe" afunga ndoa!!

Msanii wa siki nyingi wa vichekesho aliyejipatia umaarufu katika kundi la vituko show kwa style yake ya kuigiza kama mlevi, Chrispine Lyogello "Masele" ameaga ukapela baada ya kufunga pingu za maisha na mchumba wake wa siku nyingi Specioza Malick katika kanisa Katoliki, Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es salaam.
d29867d1012559853b14e6f936ec7c9f.jpg
4b8cfe2c64d80aa701494c822e56fe0b.jpg
5938c3ba52057a86f1a7a1f4f7c31bb6.jpg
Huyo madam wake ajitayarishe kukatika mbavu kwa kucheka
 
Back
Top Bottom