Tetesi: Masha kumrithi Mbowe uenyekiti CHADEMA

Tetesi: Masha kumrithi Mbowe uenyekiti CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Nashauri mbowe aendelee bado anahitajika sana
 
Ni ukweli mtupu na ndo mwisho wa CHADEMA pale mtaa wa ufipa! KUBENEA atafungishwa virago, mnyika atatafuta uelekeo, Lema atarudi TLP, MSIGWA atarudi kwa mungu na Lissu atarudi kwenye kazi yake aliyokuwa akiifanya Arusha
Mwenye masikio na asikie.
 
Kijana...kwa reference ya nzuri mambo ya chadema yote huelezwa JF hata kabla ya miaka mitano...rejea ujio wa Lowassa.


2004 walisema jk atahamiaCdm mbona

hakuhamia?kuhania lowssa ndio reference ya mambo ya cdm ?ujio Wa sumaye je? Kingunge etc ulielezwa lini?
 
2004 walisema jk atahamiaCdm mbona

hakuhamia?kuhania lowssa ndio reference ya mambo ya cdm ?ujio Wa sumaye je? Kingunge etc ulielezwa lini?
kijana tulia,Masha ni mwanachadema kwani kosa yeye kuwa mwenyekiti?
 
Lusinde ni mgonjwa wa akili ambaye baada ya kuambukizwa ugonjwa huo alipelekwa Mirembe kabla hajamaliza dozi alifanikiwa kutoroka kwa msaada wa Mwigulu na akajificha Kawe Dsm.Wakati huo akapata tunu ya kupewa ukuu wa wilaya mojawapo mkoa wa Mara.Hii iliwafanya watu wa Mtera kuona anafaa kuwa mbunge baada ya kuwa wamemchoka babake le mutuz.Imethibitika sasa kwamba lusinde bado ana utapia akili.Niongezee bia.
kweli wewe mlevi....jenga hoja.
 
Zitto na ACT kuibuka kidedea?
Huenda hoja ya ufisadi ikaibuka tena na mara hii majeruhi wapya wa siasa za Chadema wakimuona Zitto kama kimbilio huku wakieleza majuto kushirikiana na TeamEL ili angalau kupata umaarufu na huruma ya wananchi angalau kupata ubunge,udiwani nk. ‘katika siasa hakuna adui wa kudumu,wala rafiki wa kudumu’’ haya ndio maneno yatumiwayo na matapeli wa kisiasa ili kuficha aibu ya uovu wao waliotekeleza kweupe!.

Unaruhusiwa kufanya rejeo.


Wadadavuzi wengine kweli wanandoto ya mchana yenye ukaribu na ya Usiku kama mazoea yalivyo.
Njoo siku nyingine utueleze faida na hasara ya Masha kuwa Chairman kwa Upande wa Lumumba.
 
Wadadavuzi wengine kweli wanandoto ya mchana yenye ukaribu na ya Usiku kama mazoea yalivyo.
Njoo siku nyingine utueleze faida na hasara ya Masha kuwa Chairman kwa Upande wa Lumumba.
Kwanza hiyo signature yako futa...huko UK,Ujerumani nk wakuu wa vyama ndio wakuu wa serikali....Mbowe asiwaharibu.
 
Ushauri wa mwanaccm juu ya kupata kiongozi Chadema, maajabu!
Ni sawa na Salary Slip awashauri Ccm wamchague Livingstone Lusinde kuwa Katibu mkuu baada ya Kinana kuachia ngazi Mwezi ujao kwa kuona chama kinaendeshwa kienyeji.
Sababu za kumpendekeza Lusinde iwe ni kwa kuwa anahanasisha kuwaua watafiti wa Maendeleo jimboni na kuonyesha dhahiri Anatimiza adhima ya chama chake kutopenda Maendeleo hivyo anafaa kuwa katibu mkuu
Hahahahaa mkuu umetupa jiwe gizani.
 
Masha kumrithi Mbowe uenyekiti CHADEMA.

Huu ndio ukweli japo mchungu, Mbowe utashukuriwa kwa kufanikisha yote hasa ujio na uratibu wa Lowassa kugombea uraisi lakini sasa ni wakati wenye nacho wanajipanga kufanya yao. Kuna mambo mawili ya kuchagua, aidha kuingia kwenye mchuano au kutangaza kuachia ngazi katika uchaguzi mkuu wa chama 2018 au 2019. Ni jambo moja tu ujue safu ya viongozi wa ngazi za chini kuanzia vijiji,mitaa,kata,wilaya,mikoa na Taifa ndani ya CHADEMA ambao kimsingi baadhi yao ndio wenye jukumu la kuchagua Mwenyekiti wa Taifa watatokana na kundi la marafiki wa Lowassa, watamsikiliza mkuu wao.

Kwanini Masha?
Ni msomi wa sheria na mwenye uzoefu wa kufanya kazi serikalini kama waziri mwandamizi na mwanasia na zaidi ndiye anayekubalika na TeamEL hususan waliokuja CHADEMA na hata wale wanaotafuta kimbilio la kisiasa baada ya mabadiliko ndani ya CCM kuwatupilia mbali kutokana na tuhuma mbalimbali.

Nini madhara endapo mpango huu ukifanikiwa?
Ni dhahiri wahafidhina wanaoishi kwa kuvumilia ujio wa EL kama akina Tundu,Mnyika,Mdee nk watafurukuta bila mafanikio na huenda safari hii Tundu akawa muhanga wa ‘katiba mbovu’ aliyoitunga ambayo itamnyima haki ya kwenda mahakamani na hivyo kuamua kutafuta mustakabali nje ya CHADEMA au kubaki kimya bila kitu.

Zitto na ACT kuibuka kidedea?
Huenda hoja ya ufisadi ikaibuka tena na mara hii majeruhi wapya wa siasa za Chadema wakimuona Zitto kama kimbilio huku wakieleza majuto kushirikiana na TeamEL ili angalau kupata umaarufu na huruma ya wananchi angalau kupata ubunge,udiwani nk. ‘katika siasa hakuna adui wa kudumu,wala rafiki wa kudumu’’ haya ndio maneno yatumiwayo na matapeli wa kisiasa ili kuficha aibu ya uovu wao waliotekeleza kweupe!.

Unaruhusiwa kufanya rejeo.
Baada ya kuamriwa kurudisha Posho mlizojigawia kwa kisingizio cha maadhimisho ya kuzima Mwenge sasa umeamua kuja kivingine ili posho ijilipizie kwa Ramli yako hii.. Elewa mkubwa wenu wa sasa hana imani za kishirikina[emoji83] [emoji83] [emoji84] [emoji84] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
 
Chadema ikifanya uchaguzi wa Mwenyekiti, ifanye na uchaguzi wa katibu. Mbowe ni jembe lkn Mashinji bado hajakuwa jembe la kusimamia chama kikongwe na kikubwa kama Chadema
 
[QUOTkoakudadavuwa, post: 18017135, member: 353133"]kijana tulia,Masha ni mwanachadema kwani kosa yeye kuwa mwenyekiti?[/QUOTE]
Mkuu swala sio kosa ni je ana vigezo? Mim na amini hana lakini nachopinga ni kutabir mambo
Ya Cdm siamini kama ni kweli?
 
JF imevamiwa na wapiga ramli na watengeneza radi feki.Twambie serikali yenu ya viwanda hewa imekwama wapi?
Vp na ww ile nyumba ulionza kuijenga mwaka jana imekwama wap??[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
ccm bila wapiga ramli haiendi,wamewashika akili wajinga
 
Masha kumrithi Mbowe uenyekiti CHADEMA.

Huu ndio ukweli japo mchungu, Mbowe utashukuriwa kwa kufanikisha yote hasa ujio na uratibu wa Lowassa kugombea uraisi lakini sasa ni wakati wenye nacho wanajipanga kufanya yao. Kuna mambo mawili ya kuchagua, aidha kuingia kwenye mchuano au kutangaza kuachia ngazi katika uchaguzi mkuu wa chama 2018 au 2019. Ni jambo moja tu ujue safu ya viongozi wa ngazi za chini kuanzia vijiji,mitaa,kata,wilaya,mikoa na Taifa ndani ya CHADEMA ambao kimsingi baadhi yao ndio wenye jukumu la kuchagua Mwenyekiti wa Taifa watatokana na kundi la marafiki wa Lowassa, watamsikiliza mkuu wao.

Kwanini Masha?
Ni msomi wa sheria na mwenye uzoefu wa kufanya kazi serikalini kama waziri mwandamizi na mwanasia na zaidi ndiye anayekubalika na TeamEL hususan waliokuja CHADEMA na hata wale wanaotafuta kimbilio la kisiasa baada ya mabadiliko ndani ya CCM kuwatupilia mbali kutokana na tuhuma mbalimbali.

Nini madhara endapo mpango huu ukifanikiwa?
Ni dhahiri wahafidhina wanaoishi kwa kuvumilia ujio wa EL kama akina Tundu,Mnyika,Mdee nk watafurukuta bila mafanikio na huenda safari hii Tundu akawa muhanga wa ‘katiba mbovu’ aliyoitunga ambayo itamnyima haki ya kwenda mahakamani na hivyo kuamua kutafuta mustakabali nje ya CHADEMA au kubaki kimya bila kitu.

Zitto na ACT kuibuka kidedea?
Huenda hoja ya ufisadi ikaibuka tena na mara hii majeruhi wapya wa siasa za Chadema wakimuona Zitto kama kimbilio huku wakieleza majuto kushirikiana na TeamEL ili angalau kupata umaarufu na huruma ya wananchi angalau kupata ubunge,udiwani nk. ‘katika siasa hakuna adui wa kudumu,wala rafiki wa kudumu’’ haya ndio maneno yatumiwayo na matapeli wa kisiasa ili kuficha aibu ya uovu wao waliotekeleza kweupe!.

Unaruhusiwa kufanya rejeo.
Ukiendeleza jaramba usalama wa masha questionable
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom